mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 605
- 677
Tatizo hawataki kuajili (wanakwepa gharama) mtu anachukua mtoto wa mjomba au mtoto wa dada anaezubaazubaa pale hom sasa unaanzaje kumkoromea mtu km uyo matokeo yake ndoayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ungekuwa wewe ungeweza kutoa Geisha kwa kila mteja anapokodi chumba ?Kuna tule tusabuni tudogo kama kiberiti, sijui wanavinunua Tsh100.. unapewa wakati umelipa 50k+ wanashindwa kutoa sabuni zinazoeleweka, sijawahi kuvitumia kuoga!
Mbaya unamkuta mwamba anaweka kwenye bag, sometime hata wateja tuwe serious!
Bubu ataka kusema?Shida ni where I we inquire.. do we compassate to the situation and what was we been paid for the Accommodation and the shelter 😂🤣
Ebwana eh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku moja nilisafiri nikakutana na hii lodge.
Sikugusa chochote humo ndani.View attachment 2653324View attachment 2653325
😂😂shenzi zako, 'Tanganyika' kamaanisha huko kwenu bara. Kwetu Z'bar hakuna hayo mambo.Sio kwa kina
Ngariba1 kweli huko..? I mean Kigoma?🙂
NiliandikaHukuandika particulars zako kwenye kitabu cha wageni?
Mi ndio huwa nasimamia hapo hapo .Tarehe ndio zinatulinda, kwamba Nimeingia Tarehe 10 natoka Tarehe 11
Unawafanyia ubabe tu
Ukiona wankukomalia hivo wamekuona upo loose somewhere. Unapoandka tu kwenye daftari la wageni unasimamia tarehe kabla hujatoa pesa.Ndio wao ukingia muda wowote kutok saa4 au ulpe TENA
Hatari [emoji23][emoji23][emoji23]Ebwana eh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupo wachache tunaojua thamani ya mtejaSi wengi bali wote
usivunje tu chaga mkuu....6. Kitanda kinatoa milio
Kwann utumie neno kukomalia, ?Ukiona wankukomalia hivo wamekuona upo loose somewhere. Unapoandka tu kwenye daftari la wageni unasimamia tarehe kabla hujatoa pesa.
Naomba niambie lodge nzuri arusha na namanga pleaseHatar.Juz nimeingia arusha saa 8 usiku hotel nimelipa 35k halaf asbuh saa 4 inabid nilipe tena eti ya siku nyingine..Ile pesa walahi iliniuma
Maana ni tarehe uliyoingia na tarehe unayotakiwa toka, ila wengi huwa hawaandiki mtu anafika hotel saa 8 usiku eti saa 4 atokeMi ndio huwa nasimamia hapo hapo .
Hapo komaa hata Polisi waende wewe kwenye kitabu umeandika tarehe ya kuingia na kutoka.Ukiona wankukomalia hivo wamekuona upo loose somewhere. Unapoandka tu kwenye daftari la wageni unasimamia tarehe kabla hujatoa pesa.
Asilimia 99 wahajaliTupo wachache tunaojua thamani ya mteja
... 🎵mambo yanapomzidia, bubu ataka kusema eeeh,Bubu ataka kusema?
Dah! Umepiga kwenye mshono.23. TV za chogo
24. Chaneli zinabadilishiwa reception
25. Lodge kuna paka
26.Sabuni za mche unakatika kakipande
27. Mwisho saa nne kukaa chumbani