Wamiliki wa lodge kuweni serious

Wamiliki wa lodge kuweni serious

Umeshalipa 15000/ unakutana na huu mseto[emoji116]
IMG_20230612_182737.jpg
IMG_20230612_183021.jpg
 
Muleba, ngara, karagwe, kyerwa, misenyi, mutukula, kyotera, masaka, lukaaya, kampala, mbarara, bwera, jinja, kisugo namwongo, hua zinawekwa zile cover either za leather au nilon ili kuzuia kuchafua magodoro kwani wanawake wa maeneo hayo hurusha na kutoa maji mengi wakati wa shughuli zao , hivo husaidia kutunza magodoro na hiyo sio loji tu hata nyumba za watu binafsi magodoro lazima yatunzwe namna hiyo
😂😂😂Umenikumbusha sehemu moja hapo niliwahi kuwa sehemu ya umiliki wa lodge,, ebanaeee tukajifanya magodoro hatuyawekei cover😂😂 Tanfoam za maana zilipigwa maji km mara mbili godoro chali na godoro likinywa maji kukauka ni shughuli pevu, Kuna siku tulikuta maji mpaka mlangoni, mashuka yametota mito haifai godoro hilo ndo lilikuwa linatema maji tu kudadeki kuna watu ni kufuru, tulitafuta cover kwa dharula aisee
 
Utapata kitu kulingana na ukubwa wa pesa yako , usitegemee unachukua logde ya 6000 ukapata huduma nzuri.
 
Heater Haifanyi kazi.
Lodge nyingine nilikuta mafuta ya mgando mengi tuu pembeni ya kitanda .
 
Aiseee juz nmetoka mwanza lodge
Nliyolala mashuka hawakubadilisha
Natoka mchana narud mashuka naona n Yale Yale Tu yaan nikashangaa n usafi gani walikua wanafanya

Ila kwenye mambo mengine wako safi Choo kisafi maji Moto fresh
Ila tv channel n za kuunga unga😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom