X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #41
Mkuu uliacha kazi ya ulinzi?
ndio pensheni yangu ilinisaidia nikanunua pikipiki nikajiajili kama dereva wa boda boda....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uliacha kazi ya ulinzi?
Hongera mkuu. Kama vipi hamia mkoani ukapige hyo kazindio pensheni yangu ilinisaidia nikanunua pikipiki nikajiajili kama dereva wa boda boda....!
sidhani kwani kipindi cha Yesu Bodaboda walikuwepo...?"Bodaboda ni laana"
Godbless lema.
Hongera mkuu. Kama vipi hamia mkoani ukapige hyo kazi
harafu jamaa alie tugonga gari la kuazima...hana hata mia[emoji24][emoji24][emoji24]
Tango pori kwa sababu ni nadra sana gari ndogo kufeli break haswa automatickuna mtu alikuwa nae kwenye gari ndie alie sema...maana walikuwa wanajadiliana cha kufanya....pembeni ya barabara kulikuwa na watu wanaendelea na shughuli zao...si unajua Sinza africa sana ile barabara inayoingia kuelekea TRA panavyokuwa.
hivyo akaona bora aigonge bajaji maana angeilekeza gari kando ya barabara angechinja watu...sijui kama wametulisha tango pori au lah...!
ungenipa kinyeo nijipooze🤣🤣🤣🤣 harafu jana umenichatisha habari za vinyeo hadi nikapata ajari😭😭😭😭Ungekuwa karibu ningekupa POLE ya KIUTU UZIMA
ni pikiup zile za zamani yenye milango minne... ilikuwa manualTango pori kwa sababu ni nadra sana gari ndogo kufeli break haswa automatic
Ajali si ajariNdugu zangu jana nilipata Ajari na pikipiki yangu nikiwa na abiria wangu {pole sana boss lady hope unendelea vizuri} ajari hiyo niliipata pale Sinza africa sana...kuna gari ilipoteza break ikagonga bajaji, bajaji ikapoteza uelekeo nikajikuta nagongana nayo uso kwa uso.😭😭😭
View attachment 2840307
Ndugu zangu wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyo vimiliki kwasababu kama hainiingii akilini kuwa kama gari ina service nzuri Iferi break. jana nilikuwa nakichungulia kifo hivi hivi.
lakini namshukuru Mungu naendelea vizuri nilichubuka tu kidogo japo abiria wangu aliumia nae kidogo😭😭😭
hii imenifanya niiogope sana kazi yangu ya boda boda jana nimeiogopa sana pikipiki na barabara uendeshaji wangu ni wakistaarabu sana ila ndio hivyo bado nasababishiwa ajari...!
hata hivyo nimekumbuka kuwa huu ni mwisho wa mwaka matukio ya ajari huwa ni mengi...hivyo ndugu yangu msomaji kama huna umuhimu wa kusafiri ni bora tu ukae nyumbani hadi mwaka uishe...!
jana mwenzenu nilikichungulia kifo
Ajali si ajari
🤣🤣🤣🤣🤣 pole BABA KINYEO, sikujua kama umenogewa hadi ukaparamia nguzo barabarani 😂😂🙌ungenipa kinyeo nijipooze🤣🤣🤣🤣 harafu jana umenichatisha habari za vinyeo hadi nikapata ajari😭😭😭😭
haahaaa....😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣 pole BABA KINYEO, sikujua kama umenogewa hadi ukaparamia nguzo barabarani 😂😂🙌
Hapo sawa. Kuna uwezekano ilifeli breakni pikiup zile za zamani yenye milango minne... ilikuwa manual
Omba salama tu mkuu , hata huko kwenye njia za vumbi hauko salamaMimi pikipiki huwa ninaendesha kutoka lami kwenda shamba tu. Ila lami kwa lami hapana. Wahuni wengi njiani
kweli kabisaOmba salama tu mkuu , hata hukonkwenye njia za vumbi hauko salama
Hii pumzi tuichukulie mzaha tu lakini ni rahisi sana kutoka .
Kule risk ni ndogo. Japo bado kuna shidaOmba salama tu mkuu , hata huko kwenye njia za vumbi hauko salama
Hii pumzi tuichukulie mzaha tu lakini ni rahisi sana kutoka .
ni kujitoa tu muhanga ..Pole sana mkuu, ajali za bodaboda zinafikirisha hasa kusudio langu la kuimiliki.