Wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyovimiliki

Wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyovimiliki

Ndugu zangu jana nilipata Ajari na pikipiki yangu nikiwa na abiria wangu {pole sana boss lady hope unendelea vizuri} ajari hiyo niliipata pale Sinza africa sana...kuna gari ilipoteza break ikagonga bajaji, bajaji ikapoteza uelekeo nikajikuta nagongana nayo uso kwa uso.😭😭😭

View attachment 2840307

Ndugu zangu wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyo vimiliki kwasababu kama hainiingii akilini kuwa kama gari ina service nzuri Iferi break. jana nilikuwa nakichungulia kifo hivi hivi.

lakini namshukuru Mungu naendelea vizuri nilichubuka tu kidogo japo abiria wangu aliumia nae kidogo😭😭😭

hii imenifanya niiogope sana kazi yangu ya boda boda jana nimeiogopa sana pikipiki na barabara uendeshaji wangu ni wakistaarabu sana ila ndio hivyo bado nasababishiwa ajari...!

hata hivyo nimekumbuka kuwa huu ni mwisho wa mwaka matukio ya ajari huwa ni mengi...hivyo ndugu yangu msomaji kama huna umuhimu wa kusafiri ni bora tu ukae nyumbani hadi mwaka uishe...!

jana mwenzenu nilikichungulia kifo​
Usalama barabarani na kujifanya wanaangalia ubora wa usafiri, hamna kitu wanakagua kwa mwaka mara moja hao police
Baada ya hapo ni mwendo wa rushwa tu
Huna break unatoa hela unaenda kufa mbele Safi sana ila wanauwa na wasiokuwa na hatia
Tumlaumu muomba rushwa au mtoaji au mwenye usafiri asiejali kuwekeza kwenye chombo chake

Kama hamuwezi kuvimudu gharama ya nini wananunua?
Huwa najiuliza sana
 
Eeenh umejileteleza mwenyewe. Kwenye ule uzi wa Tiss ni migambo waliochangamka ulimwaga details sana. Kupitia registration number ya pikipiki hapo pichani tegemea ugeni muda wowote. (natania tu). Pole mkuu kwa ajali.
 
Usalama barabarani na kujifanya wanaangalia ubora wa usafiri, hamna kitu wanakagua kwa mwaka mara moja hao police
Baada ya hapo ni mwendo wa rushwa tu
Huna break unatoa hela unaenda kufa mbele Safi sana ila wanauwa na wasiokuwa na hatia
Tumlaumu muomba rushwa au mtoaji au mwenye usafiri asiejali kuwekeza kwenye chombo chake

Kama hamuwezi kuvimudu gharama ya nini wananunua?
Huwa najiuliza sana
kweli harafu ikitokea ajali wanakuwa wapole sana
 
Eeenh umejileteleza mwenyewe. Kwenye ule uzi wa Tiss ni migambo waliochangamka uliwamwaga details sana. Kupitia registration number ya pikipiki hapo pichani tegemea ugeni muda wowote. (natania tu). Pole mkuu kwa ajali.
🤣🤣🤣🤣 hamna kitu yale maandishi kule ilikuwa ni ya uongo tu...!
 
Shukuru Mungu kwa kupona.

Mwenzako mmoja wa Mawasiliano alifariki kwa ajali.

Mwingine wa hapohapo Mawasiliano amezikwa leo kwao Tanga baada koporwa pikipiki usiku wa manani, kuuawa na kisha kutupwa pori la Kongowe.

Pikipiki yake namba E haina hata mwezi. GPS iliyofungwa kwenye pikipiki ilisaidia kupatikana kwa chombo, watuhumiwa na hatimaye mwili wa huyo dereva.

Bodaboda mna changamoto nyingi sana!
daah watu wana rohoo ngumu sanaa..!!
 
Usalama barabarani na kujifanya wanaangalia ubora wa usafiri, hamna kitu wanakagua kwa mwaka mara moja hao police
Baada ya hapo ni mwendo wa rushwa tu
Huna break unatoa hela unaenda kufa mbele Safi sana ila wanauwa na wasiokuwa na hatia
Tumlaumu muomba rushwa au mtoaji au mwenye usafiri asiejali kuwekeza kwenye chombo chake

Kama hamuwezi kuvimudu gharama ya nini wananunua?
Huwa najiuliza sana
Inaonekana hujawahi kumiliki chombo na pia hujawahi kutoa wala kupokea rushwa.

Siku ukifanya hayo hapo juu, utakuwa unazungumza mengine au utasalia kimya!
 
Jana nimeshuhudia uhai ulivo rahisi kutoka , wamegongana boda wawwili. Huku naona na wote wakafariki hapo hapo ! Yaani nimesikia kishindo paah nasogea. Nikaokoe jamaa ndo wanakata roho .
Ajali za boda boda kupona ni majaliwa
Mpaka boda wagongane hao jamaa walikua vibati sana
 
Ndugu zangu jana nilipata Ajari na pikipiki yangu nikiwa na abiria wangu {pole sana boss lady hope unendelea vizuri} ajari hiyo niliipata pale Sinza africa sana...kuna gari ilipoteza break ikagonga bajaji, bajaji ikapoteza uelekeo nikajikuta nagongana nayo uso kwa uso.😭😭😭

View attachment 2840307

Ndugu zangu wamiliki wa vyombo vya usafiri tujitahidi kuzingatia matengenezo ya vyombo tunavyo vimiliki kwasababu kama hainiingii akilini kuwa kama gari ina service nzuri Iferi break. jana nilikuwa nakichungulia kifo hivi hivi.

lakini namshukuru Mungu naendelea vizuri nilichubuka tu kidogo japo abiria wangu aliumia nae kidogo😭😭😭

hii imenifanya niiogope sana kazi yangu ya boda boda jana nimeiogopa sana pikipiki na barabara uendeshaji wangu ni wakistaarabu sana ila ndio hivyo bado nasababishiwa ajari...!

hata hivyo nimekumbuka kuwa huu ni mwisho wa mwaka matukio ya ajari huwa ni mengi...hivyo ndugu yangu msomaji kama huna umuhimu wa kusafiri ni bora tu ukae nyumbani hadi mwaka uishe...!

jana mwenzenu nilikichungulia kifo​
Pole sana Afisa usafirishaji wetu na abiria wako kwa ajali mliyoipata.
 
Inaonekana hujawahi kumiliki chombo na pia hujawahi kutoa wala kupokea rushwa.

Siku ukifanya hayo hapo juu, utakuwa unazungumza mengine au utasalia kimya!
Nashukuru huko niliondoka zamani sana kumoliliki gari sio la kujivunia huku maana mshahara mmoja tu unaweza kununua ya kukupeleka mahali

Siwezi kusema mengi
 
Shukuru Mungu kwa kupona.

Mwenzako mmoja wa Mawasiliano alifariki kwa ajali.

Mwingine wa hapohapo Mawasiliano amezikwa leo kwao Tanga baada koporwa pikipiki usiku wa manani, kuuawa na kisha kutupwa pori la Kongowe.

Pikipiki yake namba E haina hata mwezi. GPS iliyofungwa kwenye pikipiki ilisaidia kupatikana kwa chombo, watuhumiwa na hatimaye mwili wa huyo dereva.

Bodaboda mna changamoto nyingi sana!
Kumbe wizi wa pikipiki Bado upo Dar?
Maana hao wezi wameuliwa sana paka huo wizi wa pikipiki ulipunguaga kabisa
 
Back
Top Bottom