Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Kuna video inaitwa Africa in the Bible na kitabu kinaitwa Bible the black history.
Zinaelezea Historia ya Weusi ndani ya Misri na ndani ya Biblia.

Ila nikipitia vitabu vya wajomba kuna vitu vingi wameondoa husika au uwepo wa mtu mweusi kabisaa a.
Tumejiweka nyuma nyuma lazima tuachwe tu. Maana kila kitu tunataka tuandaliwe. Wachina wameweza kwakua wanajitegemea kila kitu. Hawaedit mila zao wala kufuata mila za wazungu
 
Nakubali Ancient Egypt walikua weusi ila Cleopatra hakua mweusi hapo ndio hoja yangu iliposimamia.
[Naomba nikuulize na unijibu kwa uaminifu... Kama una watoto Je wafahamu birthday za watoto wako wote?? Una daftari/vitabu au picha ulizopiga ukiwa Teen ??]
Nakubaliana na wewe Cleopatra hakuwa mweusi...
Kwa sababu kwenye history ilionekana mwanamke mgeni atafanya hila atapata kiti halafu ndo itakuwa mwisho wake ... utawala utamfia mkononi..... nafikiri ndo Cleopatra nilikuwa nimemchanganya na Nefertiti...
 
Hao unaowaona wapo misri sasa wametokea Ulaya..
Tunawaita waarabu Kwa sababu dini Yao ni waislam na wanaongea Arabic language na culture baada ya Ottoman empire kutawala hapo na dini ya Kiislam kuwa dini ya Taifa maeneo hayo ila hao asili Yao ni Macedonia,Greece na meditaranean Europe .... Actually North Africa yote Haina waarabu....wazungu wanafanya ujanja wa Ku preach uongo mda mrefu Sana Hadi watu tuanawaamini

Wamorocco na wahispania...same same tofauti ni dini Tu ..
Tunisia na Italians same same tofauti Dini... majority ya Egyptians WA sasa walitoka Greece na Macedonia...
Wale ma farao wazamani waliojenga pyramids walikuwa Nubians ambao sasa Wengi wapo Sudan...
Zamani Egypt ya Sasa na Sudan zilikuwa nchi moja..... history imekuwa edited Sana nna thread humu inaitwa Moors watu weusi waliotawala Ulaya...
Watu weusi sio Tu walitawala Egypt lakini Hadi Ulaya walitawala...hata nchi kama Sweden na Denmark zinaficha history ya "blacks Vikings"...waliowaokoa na kuanzisha mataifa Yao .walikuwa weusi...... Europe yote ilikuwa na watu weusi tena watawala na wapiganaji vita .... history imechafuliwa Sana hata Leo ukiambiwa unaona kama ndo uongo
mambo mazuri kama haya ndiyo ninayotakaga kusoma
 
Tumejiweka nyuma nyuma lazima tuachwe tu. Maana kila kitu tunataka tuandaliwe. Wachina wameweza kwakua wanajitegemea kila kitu. Hawaedit mila zao wala kufuata mila za wazungu
Acha tu nimekutana na vingi hadi Inventor wa vitu vingi ni Weusi ila ndio vile tenA.

Kuna haja ya sisi kuandika vya kwetu mana tumepoteza hadi majina yetu ya Asili.
We are looser.
 
Acha tu nimekutana na vingi hadi Inventor wa vitu vingi ni Weusi ila ndio vile tenA.

Kuna haja ya sisi kuandika vya kwetu mana tumepoteza hadi majina yetu ya Asili.
We are looser.
Mpaka Japan kuna warriors wao wanaitwa Samurai walikuwepo black samurai....wajapan weusi waliokuwa Mashujaa....
Hata Bruce Lee mwalimu wake alikuwa mmarekani mweusi but history inafichwa
 
Zamani Egypt ya Sasa na Sudan zilikuwa nchi moja..... history imekuwa edited Sana nna thread humu inaitwa Moors watu weusi waliotawala Ulaya...
Watu weusi sio Tu walitawala Egypt lakini Hadi Ulaya walitawala...hata nchi kama Sweden na Denmark zinaficha history ya "blacks Vikings"...waliowaokoa na kuanzisha mataifa Yao .walikuwa weusi...... Europe yote ilikuwa na watu weusi tena watawala na wapiganaji vita .... history imechafuliwa Sana hata Leo ukiambiwa unaona kama ndo uongo
samahani kwa usumbufu, naomba ulete huo uzi hapa.
 
Nakubaliana na wewe Cleopatra hakuwa mweusi...
Kwa sababu kwenye history ilionekana mwanamke mgeni atafanya hila atapata kiti halafu ndo itakuwa mwisho wake ... utawala utamfia mkononi..... nafikiri ndo Cleopatra nilikuwa nimemchanganya na Nefertiti...
Now you see...
Nefertiti alikua utawala wa mapharao kama sijasahau alikua wa 18. Lakini vyanzo vingi hua vinasema asili yake ilikua Syria na sio Misri. Japo haina ushahidi sana
 
Acha tu nimekutana na vingi hadi Inventor wa vitu vingi ni Weusi ila ndio vile tenA.

Kuna haja ya sisi kuandika vya kwetu mana tumepoteza hadi majina yetu ya Asili.
We are looser.
Comment ya mtu mweusi anayejiita Lloyd Munroe😅
Ndio maana Black Amrica kuanzia miaka ya 60 walikua wanabadirisha majina yakiafrika ili kurudi kwenye asili yao. Ndio chanzo cha mama tupac kujiita Afeni Shakur badala ya Alice
 
Mpaka Japan kuna warriors wao wanaitwa Samurai walikuwepo black samurai....wajapan weusi waliokuwa Mashujaa....
Hata Bruce Lee mwalimu wake alikuwa mmarekani mweusi but history inafichwa
Wamefanikiwa kuficha ukweli kwa muda ila sasa wanajificha wao
FB_IMG_16595247556164365.jpg
 
Comment ya mtu mweusi anayejiita Lloyd Munroe😅
Ndio maana Black Amrica kuanzia miaka ya 60 walikua wanabadirisha majina yakiafrika ili kurudi kwenye asili yao. Ndio chanzo cha mama tupac kujiita Afeni Shakur badala ya Alice
Hahahaha sheenzi sana wewe.🤣🤣
 
Mpaka Japan kuna warriors wao wanaitwa Samurai walikuwepo black samurai....wajapan weusi waliokuwa Mashujaa....
Hata Bruce Lee mwalimu wake alikuwa mmarekani mweusi but history inafichwa
Hili la bruce jipya kwangu.... Yip Man alikua mweusi?? Huyo black america alimfundisha style zipi??

ila swala la kuwepo black samurai nakubali kabisa!
 
Ila huyu Cleopatra alikua na mahusiano na Julius Caesar mpaka akazaa na mtoto wa kiume
Cleopatra aliutumia vizuri uanauke wake ku seduce Julius Caesar ili awe salama kwenye utawala wake maana misri ilikuja kuwa colony la Roma na pia alimtumia Caesar kuwadhibiti dadake Asinoe na kakake Ptolemy, so Caesar alitakwa na k, Hadi Cleopatra aimzalia Julius Caesar mtoto mwanaume aliyeitwa Ptolemy caesarion, later Julius Caesar baada ya kufa akaanza kutoka na marc Antony aliyekuwa mmoja wamajemedari aliyekuwa akiwakilisha Egpty Hadi Cyprus baada ya kunogewa na penzi la Cleopatra na kupata matwins, pia ili Rome isipoteze ndio Augustus alipoivamia Egpty na kutokea vita na kuiteka ndipo Cleopatra na marc Antony kufa
 
Huu mjadala unakosa kitu kimoja au viwili kwa pamoja.

1. Mjadala unakosa marejeo ya kiutafiti

2. Watu hawajui wapi wakachukue taarifa sahihi

Badilisheni muelekeo na namna ya kujadili huu mjadala.

Mimi nina maswali kadhaa juu ya wachangiaji wa pande mbili. Kina nani waliandka Historia ya huoy Cleopatra?
 
Cleopatra aliutumia vizuri uanauke wake ku seduce Julius Caesar ili awe salama kwenye utawala wake maana misri ilikuja kuwa colony la Roma na pia alimtumia Caesar kuwadhibiti dadake Asinoe na kakake Ptolemy, so Caesar alitakwa na k, Hadi Cleopatra aimzalia Julius Caesar mtoto mwanaume aliyeitwa Ptolemy caesarion, later Julius Caesar baada ya kufa akaanza kutoka na marc Antony aliyekuwa mmoja wamajemedari aliyekuwa akiwakilisha Egpty Hadi Cyprus baada ya kunogewa na penzi la Cleopatra na kupata matwins, pia ili Rome isipoteze ndio Augustus alipoivamia Egpty na kutokea vita na kuiteka ndipo Cleopatra na marc Antony kufa
Finally the worth opponent, Our battle will be legendary!!!
Kaisari Agusto alipoivamia aliharibu kila kitu na kuhamisha vitabu na maarifa yote yaliyokuweko alexandria kuja Rome. Na ndio yaliyopo Vatican leo hii.. Agusto huyu huyu ndio aliyeitisha sensa Israel Yusuf na Maria wakaenda Bethlehem.

Cc
Gily
1681499839643.png
 
Hili la bruce jipya kwangu.... Yip Man alikua mweusi?? Huyo black america alimfundisha style zipi??

ila swala la kuwepo black samurai nakubali kabisa!


Kuna page nyingi sana .. sikumbuki hii ya Bruce Lee niliitoa wapi ila karibu hii page labda utaona..waliweka Hadi picha za mwalimu WA Bruce Lee Akiwa na Bruce Lee huko Oakland..


Screenshot_2023-04-14-22-15-34-482_com.instagram.android.jpg
 
Huenda hata huyo Cleopatra hakuwahi kuwepo katika USO huu wa Dunia.

Wachangiaji mnaweza kunithibitishia ya kuwa Cleopatra aliwahi kuishi hapa duniani ?
Unataka ushahidi wa aina gani?? Naweza kukuletea portraits zake Kama utasema Cleopatra hakuishi coz picha zake si halisi basi naweza sema pia Muhammad (SAW) hakuwahi kuwepo duniani, je utabisha?
 
Back
Top Bottom