Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Mpaka Japan kuna warriors wao wanaitwa Samurai walikuwepo black samurai....wajapan weusi waliokuwa Mashujaa....
Hata Bruce Lee mwalimu wake alikuwa mmarekani mweusi but history inafichwa
Huyu Black Samurai anaitwa Yesuke, tena alikua ni mbeba silaha mkuu wa mfalme ihistory inasema anatokea Msumbiji katika moja ya makabila ya wayao au wamakua wa Msumbiji..
 
Kuna page nyingi sana .. sikumbuki hii ya Bruce Lee niliitoa wapi ila karibu hii page labda utaona..waliweka Hadi picha za mwalimu WA Bruce Lee Akiwa na Bruce Lee huko Oakland..


View attachment 2587963
Sorry naomba unitafutie ukiwa na muda. Situmii Insta sina App!
Natamani nilijue hilo...Nahofia isiwe walikua wanafanya Sparing tu huko San Francisco wakazusha kua ni mwalimu wake
 
Upo sahihi.
Nafahamu kabisa Pharaoh wemgi ukimtoa Alexander na utawala Plotemy Dynasty waliobaki wote waliku black. Ramiless II alikua black na goddess wao wengi walikua depicted as black. Ila kwa Cleopatra hapana...hakua black chombuko lake ni Macedonia ambao ni wazungu/wagiriki.

Cleopatra hakua nixed race she was pure Macedonian ndio maana walikua serious sana kuoana wao kwa wao ili wasichanganye rangi na wamisri asilia (Black)

Cleopatra ndio Pharaoh wa mwisho kabisa kwenye utawala wa misri

Waafrika hatujui kutunza kumbukumbu hivyo lazima tuamdikiwe tu historia. Hakuna jinsi
Kwann unaamini source ya mkoloni mkuu? Share hiyo source yako hapa kwanza
 
Hapa mmenifanya nikamgpogle Cleopatra. Huwa namuona kwenye movies au series za Egypt sana na nishaona story yake before I didn't give it a close look

To be honest nachokumbuka alivyozungumziw walidai hakuwa African ila The Boss anaweza kuwa ana jambo anajua na hatulijui
Finally the worth opponent, Our battle will be legendary!!!
Kaisari Agusto alipoivamia aliharibu kila kitu na kuhamisha vitabu na maarifa yote yaliyokuweko alexandria kuja Rome. Na ndio yaliyopo Vatican leo hii.. Agusto huyu huyu ndio aliyeitisha sensa Israel Yusuf na Maria wakaenda Bethlehem.

Cc
Gily
View attachment 2587958
 
Huyu Black Samurai anaitwa Yesuke, tena alikua ni mbeba silaha mkuu wa mfalme ihistory inasema anatokea Msumbiji katika moja ya makabila ya wayao au wamakua wa Msumbiji..
Yasuke ni mmoja Tu katika Wengi..
Yasuke alikuwa so great ndo maana history yake imepenya ubaguzi na imetufikia Leo...walikuwa Wengi sana
 
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa misri wa Misri. Baada ya trailer hilo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikua mweusi.
Wanasema hawataitazma kwakua haikisi ukweli kwamba Cleopatra alikua mweusi.

[emoji117]Kuna watu weusi wengine wamekua wakijibizana na wazungu kwamba ni Racist.
Najua na humu JF mnaweza kuwaponda wazungu lakini kiukweli wapo sahihi, Cleopatra hakua mweusi.

Baada ya Alexander the Great kufariki miaka kadhaa mbele (Mwaka 305BC) Moja kati ya majenerali waliokua nae huko mirsi alibadirisha mfumo wa utawala wa Misri akaibadiri misri kua Ufalme wa Plotemy (Plotemaic Dynasty) Waliweka sheria kua wafalme wanatakiwa kujifunza mila na desturi za nyumbani kwao Ugiriki (Makedonia) ili kutimiza hilo walioana wao kwa wao yaani kaka anamuoa dada au shangazi na ndugu wengine na walikua hawaruhusu kujifunza lugha wala tamaduni za wamisri.

Mwaka 69BC huko Alexandria Misri, Cleopatra Anazaliwa

Cleopatra alikua anatoka kwenye huo ukoo wa Plotemy ila alikua anapenda kujifunza vitu na kua na watu hivyo yeye ndio akawa wa kwanza kujifunza lugha na tamaduni za kimisri. Kwakua Cleopatra alikua anajua na alizifuata mila na desturi za misri ndio maana wengi hua wanadhani kua cleopatra alikua Mmisri mweusi, ila kiukweli alikua mweupe pee! Mgiriki.
Inasemekana Cleopatra alikua anaongea lugha zaid ya 12.

View attachment 2587740
[Soma zaidi hapa...]
Kama mnataka movie ya cleopatra mweupe ipo pia.. Ilitoka kitambo kidogo
 
Cleopatra aliutumia vizuri uanauke wake ku seduce Julius Caesar ili awe salama kwenye utawala wake maana misri ilikuja kuwa colony la Roma na pia alimtumia Caesar kuwadhibiti dadake Asinoe na kakake Ptolemy, so Caesar alitakwa na k, Hadi Cleopatra aimzalia Julius Caesar mtoto mwanaume aliyeitwa Ptolemy caesarion, later Julius Caesar baada ya kufa akaanza kutoka na marc Antony aliyekuwa mmoja wamajemedari aliyekuwa akiwakilisha Egpty Hadi Cyprus baada ya kunogewa na penzi la Cleopatra na kupata matwins, pia ili Rome isipoteze ndio Augustus alipoivamia Egpty na kutokea vita na kuiteka ndipo Cleopatra na marc Antony kufa
Inaonekana Cleopatra alikuwa na mbinu za kimalaya
Screenshot_20230415-033308_Drive.jpg
 
Kuna video inaitwa Africa in the Bible na kitabu kinaitwa Bible the black history.
Zinaelezea Historia ya Weusi ndani ya Misri na ndani ya Biblia.

Ila nikipitia vitabu vya wajomba kuna vitu vingi wameondoa husika au uwepo wa mtu mweusi kabisaa a.
Comment yako ni bora, nimeicopy itanisaidia kutafuta hiyo movie na hivyo vutabu mkuu.
 
Msituchanganye ma Cleopatra tunao majumbani kwetu wanatucharua akili tunatuma nayakutolea!.. then nikahangaike na Cleopatra wa kaisari huko mnatucharua
 
Acha tu nimekutana na vingi hadi Inventor wa vitu vingi ni Weusi ila ndio vile tenA.

Kuna haja ya sisi kuandika vya kwetu mana tumepoteza hadi majina yetu ya Asili.
We are looser.
Watu hadi leo tunakunya porini ambapo reli ya kisasa ya umeme ya mkopo inamopitia tutaweza kuandika ya kwetu kweli?
 
Cleopatra aliutumia vizuri uanauke wake ku seduce Julius Caesar ili awe salama kwenye utawala wake maana misri ilikuja kuwa colony la Roma na pia alimtumia Caesar kuwadhibiti dadake Asinoe na kakake Ptolemy, so Caesar alitakwa na k, Hadi Cleopatra aimzalia Julius Caesar mtoto mwanaume aliyeitwa Ptolemy caesarion, later Julius Caesar baada ya kufa akaanza kutoka na marc Antony aliyekuwa mmoja wamajemedari aliyekuwa akiwakilisha Egpty Hadi Cyprus baada ya kunogewa na penzi la Cleopatra na kupata matwins, pia ili Rome isipoteze ndio Augustus alipoivamia Egpty na kutokea vita na kuiteka ndipo Cleopatra na marc Antony kufa
Kumbe hupo? Ulipoteaga hapa kati.
 
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa misri wa Misri. Baada ya trailer hilo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikua mweusi.
Wanasema hawataitazma kwakua haikisi ukweli kwamba Cleopatra alikua mweusi.

👉Kuna watu weusi wengine wamekua wakijibizana na wazungu kwamba ni Racist.
Najua na humu JF mnaweza kuwaponda wazungu lakini kiukweli wapo sahihi, Cleopatra hakua mweusi.

Baada ya Alexander the Great kufariki miaka kadhaa mbele (Mwaka 305BC) Moja kati ya majenerali waliokua nae huko mirsi alibadirisha mfumo wa utawala wa Misri akaibadiri misri kua Ufalme wa Plotemy (Plotemaic Dynasty) Waliweka sheria kua wafalme wanatakiwa kujifunza mila na desturi za nyumbani kwao Ugiriki (Makedonia) ili kutimiza hilo walioana wao kwa wao yaani kaka anamuoa dada au shangazi na ndugu wengine na walikua hawaruhusu kujifunza lugha wala tamaduni za wamisri.

Mwaka 69BC huko Alexandria Misri, Cleopatra Anazaliwa

Cleopatra alikua anatoka kwenye huo ukoo wa Plotemy ila alikua anapenda kujifunza vitu na kua na watu hivyo yeye ndio akawa wa kwanza kujifunza lugha na tamaduni za kimisri. Kwakua Cleopatra alikua anajua na alizifuata mila na desturi za misri ndio maana wengi hua wanadhani kua cleopatra alikua Mmisri mweusi, ila kiukweli alikua mweupe pee! Mgiriki.
Inasemekana Cleopatra alikua anaongea lugha zaid ya 12.

View attachment 2587740
[Soma zaidi hapa...]
Kwa sifa za uzuri wake zilivyoimbwa halafu wanatuletea mtu anafanana na Zai Kijiwe nongwa, aisee hata mimi naponda
 
Back
Top Bottom