Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Unataka ushahidi wa aina gani?? Naweza kukuletea portraits zake Kama utasema Cleopatra hakuishi coz picha zake si halisi basi naweza sema pia Muhammad (SAW) hakuwahi kuwepo duniani, je utabisha?
Nimecheka sana hili ndiyo tatizo lililopa katika huu mjadala.

Tuanzie hapa, kuwepo kwa picha au kutokuwepo siyo ushahidi wa kuonyesha uwepo wa kitu.

Nataka ushahidi wa kihistoria ambao unarudi kwenye Primary Source. Kingine sijasema hakuishi nimeandika huenda.

Ukisema Muhammad hakuishi nitakutomba ushahidi. Mimi nasema Muhammad ameishi, sababu nina chain na habari zake zimepokelewa au kusimuliwa na watu zaidi ya mmoja tena waadilifu na wakweli. Huku usiguse sababu ni bahari nyingine.

Tuanzie hapa katika Yale maswali niliyo uliza.
1. Nani wa kwana kuandika historia ya Cleopatra ?

2. Je aliyeandika Historia ya Cleopatra alimuona Cleopatra ?

3. Kama hakumuona je habari zake amezipata wapi ?

Tuanze na maswali haya kwanza.
 
Wewe unaweza kutupa ushahidi Muhamad alikuwepo?
Hili kwangu rahisi sana, sababu habari zake zimedhibitiwa tena kwa "Chain iliyoshikana". Hili litafata baadae, tumalize hili kwanza.

Isiwe mnajadiki ngano na visasili vya watunzi mahiri wa simulizi za kufikirika.
 
Wamorocco na wahispania...same same tofauti ni dini Tu ..
Tunisia na Italians same same tofauti Dini... majority ya Egyptians WA sasa walitoka Greece na Macedonia...


Leo nasoma kitu kipya!!!, mkuu unao ushahidi wa kihistoria wa jambo hili kubwa unalolisema??
 
Hao unaowaona wapo misri sasa wametokea Ulaya..
Tunawaita waarabu Kwa sababu dini Yao ni waislam na wanaongea Arabic language na culture baada ya Ottoman empire kutawala hapo na dini ya Kiislam kuwa dini ya Taifa maeneo hayo ila hao asili Yao ni Macedonia,Greece na meditaranean Europe .... Actually North Africa yote Haina waarabu....wazungu wanafanya ujanja wa Ku preach uongo mda mrefu Sana Hadi watu tuanawaamini

Wamorocco na wahispania...same same tofauti ni dini Tu ..
Tunisia na Italians same same tofauti Dini... majority ya Egyptians WA sasa walitoka Greece na Macedonia...
Wale ma farao wazamani waliojenga pyramids walikuwa Nubians ambao sasa Wengi wapo Sudan...
Zamani Egypt ya Sasa na Sudan zilikuwa nchi moja..... history imekuwa edited Sana nna thread humu inaitwa Moors watu weusi waliotawala Ulaya...
Watu weusi sio Tu walitawala Egypt lakini Hadi Ulaya walitawala...hata nchi kama Sweden na Denmark zinaficha history ya "blacks Vikings"...waliowaokoa na kuanzisha mataifa Yao .walikuwa weusi...... Europe yote ilikuwa na watu weusi tena watawala na wapiganaji vita .... history imechafuliwa Sana hata Leo ukiambiwa unaona kama ndo uongo
Unajua hpa kila nikisoma hiki kipande akili yngu inarudi kwa waydad na raja Casablanca kumbe huwa tunapigwa na timu za Spain bila kujua
 
Inawezekana hata Misri ilikuwa nchi ya weusi ila Waarabu walivamia tu..

Ila Cleopatra kusema hakuwa mweusi haiingi akilini.
zitto junior
Uko sahihi kabisa hata 25th dynasty chini ya Pharaoh Thutmose walikua wametokea Sudan huko pure blacks ila Cha kushangaza Modern media Ina potray kama alikua mweupe. Sasa unajiuliza hao weupe walitoka wapi Sudan/Nubia ya enzi hizo.

Sio huko tu hata Tunisia(Carthage ya kale) huko wanam term Hannibal kama mweupe wakati alikua black kutokea Numidia kama mtumwa.

Hawa western media tukiacha watuandalie historia ndio madhara yake.
 
Leo nasoma kitu kipya!!!, mkuu unao ushahidi wa kihistoria wa jambo hili kubwa unalolisema??
Inabidi ufanye research mwenyewe
Wazungu wanaficha ficha Sana...kuna source watakuambia wamisri 17 percent walitoka Greece...waliobaki Macedonia n.k...
Nikupe kitu kingine kipya Leo ..
Hakuna continent inaitwa Europe...
Sifa za continent izungukwe na maji pande zote ....wazungu wanafanya utapeli ...Sana ...eti Uturuki upande Asia upande Europe...Russia upande Asia upande Europe...we huoni utapeli WA wazi wazi Kabisa???


Kwanini Sisi tusiseme zile nchi tunaita za kiarabu zote ni Meditaranean continent mfano? Halafu Africa ni huku Kwa weusi??

Nikupe uongo mwingine WA wazungu wa waziwazi...tazama atlas na ramani zote duniani utaona Russia ni pana kuliko bars la Africa...sasa nenda katazame ukubwa halisi Kwa square meters ushangae . Russia inaingia Africa mara mbili na zaidi....wazungu matapeli sana
 
Uko sahihi kabisa hata 25th dynasty chini ya Pharaoh Thutmose walikua wametokea Sudan huko pure blacks ila Cha kushangaza Modern media Ina potray kama alikua mweupe. Sasa unajiuliza hao weupe walitoka wapi Sudan/Nubia ya enzi hizo.

Sio huko tu hata Tunisia(Carthage ya kale) huko wanam term Hannibal kama mweupe wakati alikua black kutokea Numidia kama mtumwa.

Hawa western media tukiacha watuandalie historia ndio madhara yake.
Ndo maana wakaanzisha somo linaitwa Egyptology....yaani ni kuhusu WA misri only ili waedit Kwa Uhuru
Watu wakiuliza mbona masanamu yote ya Egypt pia zao za kibantu ... wataalam WA Egyptology wanakuja na maelezo mengine ya kitaalam...
 
Huyo hajui ni anaandika kwa kudhani
Mkuu unatuchanganya sasa, yani wewe kutwa ni kupinga yaliyoandikwa kisa waandishi ni wazungu afu wewe nukuu zako zote unazitoa kwa hao hao wazungu.

Ebu tuletee sorce ata mbili ambazo unaziamini ambazo hazijatokana na hao wazungu
 
Huyo Clepatra mnayemuongelea na yule Cleopatra dada yake na Alexander the great ni watu tofauti!?
Ni watu tofauti labda unachanganya Kwakua wote walikua Wagiriki na wote walikua watawala wa Misri. Sidhani kama Alexander alikua na dada aitwae Cleopatra.

Cleopatra alikuweko karibia Yesu Anazaliwa wakati alexander alikua miaka mingi nyuma karibia 200 kabla ya kuzaliwa Yesu
 
Ni watu tofauti labda unachanganya Kwakua wote walikua Wagiriki na wote walikua watawala wa Misri. Sidhani kama Alexander alikua na dada aitwae Cleopatra.

Cleopatra alikuweko karibia Yesu Anazaliwa wakati alexander alikua miaka mingi nyuma karibia 200 kabla ya kuzaliwa Yesu
Dada pekee waliye shea baba na mama na Alexander the great naye anaitwa Cleopatra
 
Inabidi ufanye research mwenyewe
Wazungu wanaficha ficha Sana...kuna source watakuambia wamisri 17 percent walitoka Greece...waliobaki Macedonia n.k...
Nikupe kitu kingine kipya Leo ..
Hakuna continent inaitwa Europe...
Sifa za continent izungukwe na maji pande zote ....wazungu wanafanya utapeli ...Sana ...eti Uturuki upande Asia upande Europe...Russia upande Asia upande Europe...we huoni utapeli WA wazi wazi Kabisa???


Kwanini Sisi tusiseme zile nchi tunaita za kiarabu zote ni Meditaranean continent mfano? Halafu Africa ni huku Kwa weusi??

Nikupe uongo mwingine WA wazungu wa waziwazi...tazama atlas na ramani zote duniani utaona Russia ni pana kuliko bars la Africa...sasa nenda katazame ukubwa halisi Kwa square meters ushangae . Russia inaingia Africa mara mbili na zaidi....wazungu matapeli sana
Mkuu wewe ni Flat earther?
 
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa misri wa Misri. Baada ya trailer hilo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikua mweusi.
Wanasema hawataitazma kwakua haikisi ukweli kwamba Cleopatra alikua mweusi.

👉Kuna watu weusi wengine wamekua wakijibizana na wazungu kwamba ni Racist.
Najua na humu JF mnaweza kuwaponda wazungu lakini kiukweli wapo sahihi, Cleopatra hakua mweusi.

Baada ya Alexander the Great kufariki miaka kadhaa mbele (Mwaka 305BC) Moja kati ya majenerali waliokua nae huko mirsi alibadirisha mfumo wa utawala wa Misri akaibadiri misri kua Ufalme wa Plotemy (Plotemaic Dynasty) Waliweka sheria kua wafalme wanatakiwa kujifunza mila na desturi za nyumbani kwao Ugiriki (Makedonia) ili kutimiza hilo walioana wao kwa wao yaani kaka anamuoa dada au shangazi na ndugu wengine na walikua hawaruhusu kujifunza lugha wala tamaduni za wamisri.

Mwaka 69BC huko Alexandria Misri, Cleopatra Anazaliwa

Cleopatra alikua anatoka kwenye huo ukoo wa Plotemy ila alikua anapenda kujifunza vitu na kua na watu hivyo yeye ndio akawa wa kwanza kujifunza lugha na tamaduni za kimisri. Kwakua Cleopatra alikua anajua na alizifuata mila na desturi za misri ndio maana wengi hua wanadhani kua cleopatra alikua Mmisri mweusi, ila kiukweli alikua mweupe pee! Mgiriki.
Inasemekana Cleopatra alikua anaongea lugha zaid ya 12.

View attachment 2587740
[Soma zaidi hapa...]
Cleopatra anayeongelewa ni dada yake na Alexander the great
 
Finally the worth opponent, Our battle will be legendary!!!
Kaisari Agusto alipoivamia aliharibu kila kitu na kuhamisha vitabu na maarifa yote yaliyokuweko alexandria kuja Rome. Na ndio yaliyopo Vatican leo hii.. Agusto huyu huyu ndio aliyeitisha sensa Israel Yusuf na Maria wakaenda Bethlehem.

Cc
Gily
View attachment 2587958
Yes ni correct na baadhi ya mambo walijifunzia Egpty ambayo ilikuwa rich Kwa mambo mengi hata mifumo ya miezi 12 walijifunza kutoka Egpty na na Augustus vile Rome was super power at that time it's obvious vingi vilibadilishwa I think hata mambo ya Imani vile vile, ila mambo ya miezi Kwa mwaka walijifunza Egpty ndio kama hyo July, August hivo
 
Hapa mmenifanya nikamgpogle Cleopatra. Huwa namuona kwenye movies au series za Egypt sana na nishaona story yake before I didn't give it a close look

To be honest nachokumbuka alivyozungumziw walidai hakuwa African ila The Boss anaweza kuwa ana jambo anajua na hatulijui
Cleopatra alikuwa mu Giriki by nature na hyo ilitokea baada ya Alexander the Great kufa wale majemedari waligawana regions za kuongoza na ndio Ptolemy dynasty ikawa Ina rule Egpty ndio Cleopatra akafikiwa kuongoza. So Cleopatra was a Greek but leading Egpty
 
Janja kujiita Da Vinci usijione jiniazi kuna vingine kubali huvijui, sema we kama zako nyingi unazoandika unaonyesha fika we eurocentric minded, umekuwa totally brainwashed huwajui waafrika wewe
 
Back
Top Bottom