Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

Wamisri wachukia dhana kwamba Malkia Cleopatra II alikuwa ni mwafrika mweusi

You know what Gily, playing villain in Tv was fun. But being one in real life, it's even better. Heist music
View attachment 2589808
Out of all enemies I like him more. He danced so smoothly 😬 It pained me to beat his ass. But you know what fuckk em he deserved it
bluepixelanimations-r4.jpg
 
Cleopatra wa ukweli namjua, wala siyo huyo hapo
From the first time I saw The Mummy Return movie series I liked her. I was so jealous of Impoteb for her 👇 that's Cleaopatra. She played a villain in this movie. How I wish I was in the movie to just smell her hair (not hairs on her head or bosom if you know what I mean)
3c94b9c36f4ca8ce761fbf49503e1598.jpg

In real life I dated a girl named Cleopatra (Ummy) now she is a nurse staff at Hubert Kairuki. Beauty and Beast😬
 
Hili kwangu rahisi sana, sababu habari zake zimedhibitiwa tena kwa "Chain iliyoshikana". Hili litafata baadae, tumalize hili kwanza.

Isiwe mnajadiki ngano na visasili vya watunzi mahiri wa simulizi za kufikirika.
Sawa, tuoneshe hiyo "chain iliyoshikana"
 
Haya mambo ya historia za mapokeo zina kanganya sana
Kwanza ni rahisi sana kubadilishwa kwa lengo la kunufaisha kundi fulani

Inasemekana miaka 275 kabla Cleopatra hajazaliwa Wagiriki waliitawala Misri na kutengeneza line yao ya utawala wa kigiriki, inasemekana hawakuruhusiwa kuoa wa kuolewa wala kuzaa na wenyeji walio watawala wala jamii nyingine yoyote
Na kwakuwa walikua wachache ilibidi waoane wenyewe kwa wenyewe kuhakikisha wanatunza uhalisia.
Kwa muktadha huo Cleopatra ndie alikua mtawala wa mwisho wa Kigiriki na kuleta taswira kwamba haiwezekani akawa sio Mgiriki

Lakini pia kuna mjadala mkubwa sana kwamba hao wenyeji wa Misri kipindi hicho walikua ni black au white? kwamaana ya Waarabu?
Hii hoja ya uasili wa wamisri inazidi kuleta ukinzani wa Cleopatra kuwa mweusi

Wanao tetea Cleopatra alikua mweusi wanajenga hoja kadhaa ikiwemo
Historia imebadilishwa
Michoro na vinyago vingi vya enzi za Cleopatra na hata mafarao kabla zina muundo wa ki weusi
Lakini pia kuna matukio kadhaa kuonyesha watu nje ya ukoo wa kigiriki walioa/olewa walizalisha na walizaliwa na wakakubalika, ikiwemo Cleopatra mwenyewe kuwa na mahusiano na Antoni na Siza na mtoto wake

Kwa mtazamo wangu naona kuna uwezekano mdogo sana Cleopatra kuwa mweusi kuliko kuwa mweupe
 
Soma kitabu kiitwacho sahihi Al Bukhari. Kwa kuanzia Kuna hizo chain na siyo Moja, ziko nyingi.
Hiko Kitabu kimeandikwa miaka Mingapi baada ya huyo Muhamad anayesadikika kuwepo?
 
Egypt ni ustaarabu wa watu weusi. Toka miaka 3000 kabla ya Yesu hadi walipoanza kuingiliwa na wageni. Wakati wa Cleopatra watawala walikuwa wagiriki na Cleopatra ni mgiriki. So si sawa kumuweka mweusi.
 
Hao unaowaona wapo misri sasa wametokea Ulaya..
Tunawaita waarabu Kwa sababu dini Yao ni waislam na wanaongea Arabic language na culture baada ya Ottoman empire kutawala hapo na dini ya Kiislam kuwa dini ya Taifa maeneo hayo ila hao asili Yao ni Macedonia,Greece na meditaranean Europe .... Actually North Africa yote Haina waarabu....wazungu wanafanya ujanja wa Ku preach uongo mda mrefu Sana Hadi watu tuanawaamini

Wamorocco na wahispania...same same tofauti ni dini Tu ..
Tunisia na Italians same same tofauti Dini... majority ya Egyptians WA sasa walitoka Greece na Macedonia...
Wale ma farao wazamani waliojenga pyramids walikuwa Nubians ambao sasa Wengi wapo Sudan...
Zamani Egypt ya Sasa na Sudan zilikuwa nchi moja..... history imekuwa edited Sana nna thread humu inaitwa Moors watu weusi waliotawala Ulaya...
Watu weusi sio Tu walitawala Egypt lakini Hadi Ulaya walitawala...hata nchi kama Sweden na Denmark zinaficha history ya "blacks Vikings"...waliowaokoa na kuanzisha mataifa Yao .walikuwa weusi...... Europe yote ilikuwa na watu weusi tena watawala na wapiganaji vita .... history imechafuliwa Sana hata Leo ukiambiwa unaona kama ndo uongo

Kweli kabisa waNorth Africans asili yao Europe kama uarab wanao kidogo ukichek waTunisia kama wazungu kabisa (Italians) ,Algerians kama Wafaransa
 
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa misri wa Misri. Baada ya trailer hilo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikua mweusi.
Wanasema hawataitazma kwakua haikisi ukweli kwamba Cleopatra alikua mweusi.

[emoji117]Kuna watu weusi wengine wamekua wakijibizana na wazungu kwamba ni Racist.
Najua na humu JF mnaweza kuwaponda wazungu lakini kiukweli wapo sahihi, Cleopatra hakua mweusi.

Baada ya Alexander the Great kufariki miaka kadhaa mbele (Mwaka 305BC) Moja kati ya majenerali waliokua nae huko mirsi alibadirisha mfumo wa utawala wa Misri akaibadiri misri kua Ufalme wa Plotemy (Plotemaic Dynasty) Waliweka sheria kua wafalme wanatakiwa kujifunza mila na desturi za nyumbani kwao Ugiriki (Makedonia) ili kutimiza hilo walioana wao kwa wao yaani kaka anamuoa dada au shangazi na ndugu wengine na walikua hawaruhusu kujifunza lugha wala tamaduni za wamisri.

Mwaka 69BC huko Alexandria Misri, Cleopatra Anazaliwa

Cleopatra alikua anatoka kwenye huo ukoo wa Plotemy ila alikua anapenda kujifunza vitu na kua na watu hivyo yeye ndio akawa wa kwanza kujifunza lugha na tamaduni za kimisri. Kwakua Cleopatra alikua anajua na alizifuata mila na desturi za misri ndio maana wengi hua wanadhani kua cleopatra alikua Mmisri mweusi, ila kiukweli alikua mweupe pee! Mgiriki.
Inasemekana Cleopatra alikua anaongea lugha zaid ya 12.

View attachment 2587740
[Soma zaidi hapa...]
Duh..
 
Hiko Kitabu kimeandikwa miaka Mingapi baada ya huyo Muhamad anayesadikika kuwepo?
Zaidi ya miaka mia Moja.

Ushawahi hata kukiona ? Jenga hoja.

Kisha uje kuthibitisha ya kuwa anasadikika kuwepo.
 
Zaidi ya miaka mia Moja.

Ushawahi hata kukiona ? Jenga hoja.

Kisha uje kuthibitisha ya kuwa anasadikika kuwepo.
Sasa tutaaminije kitabu kilichoandikwa miaka zaidi ya miamoja kama ushahidi wa muhusika??
(By the way umepunguza, ni miaka zaidi ya 230+)
 
Sasa tutaaminije kitabu kilichoandikwa miaka zaidi ya miamoja kama ushahidi wa muhusika??
(By the way umepunguza, ni miaka zaidi ya 230+)
Umewahi kikisoma kwanza hicho kitabu ? Nimekwambia kina Chain inafika mpaka kwa Mtume, halafu unauliza kwamba utakiaminije ? Au hujui nini maana ya chain ?

Kwani ukiambiwa zaidi ya miaka mia, hiyo 230 na ziada siyo zaidi ya miaka 100 ? Kijana mbona unakuwa Mjinga kiasi hicho ?
 
Juzi hapa Netflix waliachia Trailer la series inayohusu maisha ya Malkia Cleopatra wa misri wa Misri. Baada ya trailer hilo watu(ambao sio Negro/Weusi) wameponda sana kumuweka/kumuonyesha Cleopatra alikua mweusi.
Wanasema hawataitazma kwakua haikisi ukweli kwamba Cleopatra alikua mweusi.

👉Kuna watu weusi wengine wamekua wakijibizana na wazungu kwamba ni Racist.
Najua na humu JF mnaweza kuwaponda wazungu lakini kiukweli wapo sahihi, Cleopatra hakua mweusi.

Baada ya Alexander the Great kufariki miaka kadhaa mbele (Mwaka 305BC) Moja kati ya majenerali waliokua nae huko mirsi alibadirisha mfumo wa utawala wa Misri akaibadiri misri kua Ufalme wa Plotemy (Plotemaic Dynasty) Waliweka sheria kua wafalme wanatakiwa kujifunza mila na desturi za nyumbani kwao Ugiriki (Makedonia) ili kutimiza hilo walioana wao kwa wao yaani kaka anamuoa dada au shangazi na ndugu wengine na walikua hawaruhusu kujifunza lugha wala tamaduni za wamisri.

Mwaka 69BC huko Alexandria Misri, Cleopatra Anazaliwa

Cleopatra alikua anatoka kwenye huo ukoo wa Plotemy ila alikua anapenda kujifunza vitu na kua na watu hivyo yeye ndio akawa wa kwanza kujifunza lugha na tamaduni za kimisri. Kwakua Cleopatra alikua anajua na alizifuata mila na desturi za misri ndio maana wengi hua wanadhani kua cleopatra alikua Mmisri mweusi, ila kiukweli alikua mweupe pee! Mgiriki.
Inasemekana Cleopatra alikua anaongea lugha zaid ya 12.

View attachment 2587740
[Soma zaidi hapa...]
History ya Cleoptra niliwahi kuifuatilia sana na hata wewe reckodi yako siyo sahihi. Yeye kuhusishwa na Ptolemy hakumfanyi kuwa mgiriki pure. Kumbuka Cleoptra hakuzaliwa na mfalme Ptolemy mwenyewe bali alizaliwa na mmoja wa watumishi wake tena kwa kupitia "mistress" wa huyo mtumishi ambaye wakati huo alikuwa ni "kijakazi" mweusi. Wanawake wengi waliochanganya damu huwa ni wazuri sana ingawa damu nyeusi ndiyo hutawala mionekano yao. Ukiangalia hata kwenye TV za kimarekani wanawake waliochanganya damu wanawaka sana, na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Cleoptra.
 
Back
Top Bottom