Mabibi na mabwana, mama Samia kadhamiria kwa dhati kabisa kutuvusha salama kama taifa.
Hii ni katika masuala yote msingi yakiwamo ya afya zetu na pia katika ujenzi wa taifa.
Kuhusiana na afya zetu hasa gonjwa hili linalotikisa dunia, mama Samia aliteua tume ya wataalamu ambayo tayari imeshatoa ripoti yake. Kilichobakia hapa, sasa ni utekelezaji tu.
Apongezwe sana mama Samia kwenye hili
Lingine la msingi ni ripoti za CAG kuhusiana na TPA na BOT. Hili linagusa moja kwa moja na ulipo mzizi halisi wa matatizo yetu haswa, ya kiuchumi.
Ripoti hizi na hatua husika zitakazofuata kuhusiana na ripoti hizi yatatueweka katika nafasi bora sana.
Hii nchi imekuwa ikichezewa mno kiuchumi katika awamu zote zilizopita. Tuliowaamini na waaminiwa wengi, wamekuwa ni kikwazo kikubwa. Hili bila exception awamu kwa awamu.
Yamekuwa yale ya umdhaniaye siye ndiye!
Pana haja ikibidi ya kutumia nguvu (minimum force) kuwadhibiti baadhi ya wanaoonekana kujitokeza kutaka kumkwamisha mama kwa sababu zao binafsi. Watambue kuwa urais unastahili heshima kama nilivyokuwa ikisisitizwa kwenye awamu ile.
Watu hawa wanaoonekana ni vibaraka wanotumiwa
na watu wasiolitakia mema taifa hili wakiwamo mabeberu. Watu hawa si wa kuvumiliwa hata kidogo.
Litakuwa jambo la msingi sana sote tukamwuunga mkono mama Samia anapodhamiria kulijenga taifa hili kuwa la haki kamili, kwa kutowaonea haya wenzetu wote ambao wanaonyesha kuwa mabingwa wa kukosa uzalendo.
Washindwe na walegee.
Ninawasilisha.
Hii ni katika masuala yote msingi yakiwamo ya afya zetu na pia katika ujenzi wa taifa.
Kuhusiana na afya zetu hasa gonjwa hili linalotikisa dunia, mama Samia aliteua tume ya wataalamu ambayo tayari imeshatoa ripoti yake. Kilichobakia hapa, sasa ni utekelezaji tu.
Apongezwe sana mama Samia kwenye hili
Lingine la msingi ni ripoti za CAG kuhusiana na TPA na BOT. Hili linagusa moja kwa moja na ulipo mzizi halisi wa matatizo yetu haswa, ya kiuchumi.
Ripoti hizi na hatua husika zitakazofuata kuhusiana na ripoti hizi yatatueweka katika nafasi bora sana.
Hii nchi imekuwa ikichezewa mno kiuchumi katika awamu zote zilizopita. Tuliowaamini na waaminiwa wengi, wamekuwa ni kikwazo kikubwa. Hili bila exception awamu kwa awamu.
Yamekuwa yale ya umdhaniaye siye ndiye!
Pana haja ikibidi ya kutumia nguvu (minimum force) kuwadhibiti baadhi ya wanaoonekana kujitokeza kutaka kumkwamisha mama kwa sababu zao binafsi. Watambue kuwa urais unastahili heshima kama nilivyokuwa ikisisitizwa kwenye awamu ile.
Watu hawa wanaoonekana ni vibaraka wanotumiwa
na watu wasiolitakia mema taifa hili wakiwamo mabeberu. Watu hawa si wa kuvumiliwa hata kidogo.
Litakuwa jambo la msingi sana sote tukamwuunga mkono mama Samia anapodhamiria kulijenga taifa hili kuwa la haki kamili, kwa kutowaonea haya wenzetu wote ambao wanaonyesha kuwa mabingwa wa kukosa uzalendo.
Washindwe na walegee.
Ninawasilisha.