Wamulikwe wanaotumiwa kudhoofisha jitihada za Rais Samia Suluhu

Wamulikwe wanaotumiwa kudhoofisha jitihada za Rais Samia Suluhu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana, mama Samia kadhamiria kwa dhati kabisa kutuvusha salama kama taifa.

Hii ni katika masuala yote msingi yakiwamo ya afya zetu na pia katika ujenzi wa taifa.

Kuhusiana na afya zetu hasa gonjwa hili linalotikisa dunia, mama Samia aliteua tume ya wataalamu ambayo tayari imeshatoa ripoti yake. Kilichobakia hapa, sasa ni utekelezaji tu.

Apongezwe sana mama Samia kwenye hili

Lingine la msingi ni ripoti za CAG kuhusiana na TPA na BOT. Hili linagusa moja kwa moja na ulipo mzizi halisi wa matatizo yetu haswa, ya kiuchumi.

Ripoti hizi na hatua husika zitakazofuata kuhusiana na ripoti hizi yatatueweka katika nafasi bora sana.

Hii nchi imekuwa ikichezewa mno kiuchumi katika awamu zote zilizopita. Tuliowaamini na waaminiwa wengi, wamekuwa ni kikwazo kikubwa. Hili bila exception awamu kwa awamu.

Yamekuwa yale ya umdhaniaye siye ndiye!

Pana haja ikibidi ya kutumia nguvu (minimum force) kuwadhibiti baadhi ya wanaoonekana kujitokeza kutaka kumkwamisha mama kwa sababu zao binafsi. Watambue kuwa urais unastahili heshima kama nilivyokuwa ikisisitizwa kwenye awamu ile.

Watu hawa wanaoonekana ni vibaraka wanotumiwa
na watu wasiolitakia mema taifa hili wakiwamo mabeberu. Watu hawa si wa kuvumiliwa hata kidogo.

Litakuwa jambo la msingi sana sote tukamwuunga mkono mama Samia anapodhamiria kulijenga taifa hili kuwa la haki kamili, kwa kutowaonea haya wenzetu wote ambao wanaonyesha kuwa mabingwa wa kukosa uzalendo.

Washindwe na walegee.

Ninawasilisha.
 
Mabibi na mabwana, mama Samia kadhamiria kwa dhati kabisa kutuvusha salama kama taifa.

Hii ni katika masuala yote msingi yakiwamo ya afya zetu na pia katika ujenzi wa taifa.

Kuhusiana na afya zetu hasa gonjwa hili linalotikisa dunia, mama Samia aliteua tume ya wataalamu ambayo tayari imeshatoa ripoti yake. Kilichobakia hapa, sasa ni utekelezaji tu.

Apongezwe sana mama Samia kwenye hili

Lingine la msingi ni ripoti za CAG kuhusiana na TPA na BOT. Hili linagusa moja kwa moja na ulipo mzizi halisi wa matatizo yetu haswa, ya kiuchumi.

Ripoti hizi na hatua husika zitakazofuata kuhusiana na ripoti hizi yatatueweka katika nafasi bora sana.

Hii nchi imekuwa ikichezewa mno kiuchumi katika awamu zote zilizopita. Tuliowaamini na waaminiwa wengi, wamekuwa ni kikwazo kikubwa. Hili bila exception awamu kwa awamu.

Yamekuwa yale ya umdhaniaye siye ndiye!

Pana haja ikibidi ya kutumia nguvu (minimum force) kuwadhibiti baadhi ya wanaoonekana kujitokeza kutaka kumkwamisha mama kwa sababu zao binafsi. Watambue kuwa urais unastahili heshima kama nilivyokuwa ikisisitizwa kwenye awamu ile.

Watu hawa wanaoonekana ni vibaraka wanotumiwa
na watu wasiolitakia mema taifa hili wakiwamo mabeberu. Watu hawa si wa kuvumiliwa hata kidogo.

Litakuwa jambo la msingi sana sote tukamwuunga mkono mama Samia anapodhamiria kulijenga taifa hili kuwa la haki kamili, kwa kutowaonea haya wenzetu wote ambao wanaonyesha kuwa mabingwa wa kukosa uzalendo.

Washindwe na walegee!

Ninawasilisha.
Kwa hiyo ndo ulikuwa unatakaje sasa🤣🤣🤣,mwambie afanye kazi sisi tunataka maendeleo
 
Chadema ni wakwamishaji namba moja ,tayari wameitisha maandamano Arusha
 
SSH anajikwamisha mwenyewe, uwezo mdogo wa kufikira, ukurupukaji wa kutoa maamuzi mkubwa, ubinasfi na chuki juu.
Tuna document tu maamuzi yake ili baadaye apate stahili yake.
Mosi, Kuruhusu wawekezaji waje na expatriates as per their desire.

Mbili, amewakatisha tamaa TRA kukusanya kodi, mapato yakipungua yeye ndio chanzo.

Tatu, ameweka 14 days quarantine to all foreigners, hii ina direct impact kwa utalii na biashara, ndani ya miezi 6 tu tutaona madhara.

Nne, amerudisha Ikulu Dsm, ina maana fedha yote iliyotumika kujenga Dodoma imepotea.

Tano, amekuwa modern Chief Mangungo kwa kuuza dhahabu kwa kioo, rejea makubaliono yake Kenya.
 
Msimfundishe udikteta mama si nyie mmesema kua ni haki ya demokrasia kila mtu kutoa hoja zake

Kama ilikuwa halali kwa kina Ben kupotea kwa kumkosoa mwendazake na isiwe haramu leo kwa kina jo na binamu zake kuwakuta ya kuwakuta kwa kuyafanya hayo hayo tuliyokuwa tukiwindwa nayo wengine.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mwendazake alipowadhibiti waliokuwa wanamkwamisha tulilalama na kumchukia, vipi mama yeye ni nani mpaka asisemwe?

Tatizo ni kuwa sasa kibao kimegeuka. Waliokuwa wanamshabikia mwendazake kwa yote leo wanamkosoa mama vikali.

Ilikuwa vizuri wakaonja JOTO ya jiwe. Inaonesha wanatumiwa na mabeberu. Wamekosea uzalendo.
 
Tatizo ni kuwa sasa kibao kimegeuka. Waliokuwa wanamshabikia mwendazake kwa yote leo wanamkosoa mama vikali.

Ilikuwa vizuri wakaonja JOTO ya jiwe. Inaonesha wanatumiwa na mabeberu. Wamekosea uzalendo.
embu tulia bana,sasa wewe ni TAGA au FIPA!!!

chagua moja hapo.
 
SSH anajikwamisha mwenyewe, uwezo mdogo wa kufikira, ukurupukaji wa kutoa maamuzi mkubwa, ubinasfi na chuki juu.
Tuna document tu maamuzi yake ili baadaye apate stahili yake.
Mosi, Kuruhusu wawekezaji waje na expatriates as per their desire.

Mbili, amewakatisha tamaa TRA kukusanya kodi, mapato yakipungua yeye ndio chanzo.

Tatu, ameweka 14 days quarantine to all foreigners, hii ina direct impact kwa utalii na biashara, ndani ya miezi 6 tu tutaona madhara.

Nne, amerudisha Ikulu Dsm, ina maana fedha yote iliyotumika kujenga Dodoma imepotea.

Tano, amekuwa modern Chief Mangungo kwa kuuza dhahabu kwa kioo, rejea makubaliono yake Kenya.

Samia yuko vizuri:

1. Corona kaitambua rasmi kama janga la kiafya wala si vita vya kiuchumi kama mwendazake alivyokuwa akitulisha matango pori.
2. Kwake sayansi imetamalaki dhidi ya ushirikina, janja janja za kina Rashid nk.
3. Anao uthubutu wa ku audit the untouchables: BOT, TPA, tanroads na wenzao ambayo kwa mwendazake hayo yalikuwa ni ndoto.
4. Hana haja na kodi za dhuluma kama alivyokuwa mwendazake.
5. Haki kwake ina mashiko yumkini tutapata katiba mpya pia.
6. Tumeacha kufokeana na kutishiana nyau.
7. Nk. Nk

Tumwuunge mama mkono kwa nguvu zetu zote ikiwamo kuwafichia watu kama wewe mkuu.

Nakazia: watu kama wewe mnaotumiwa na mabeberu, mmulikwe haraka sana kabla hamjaleta madhara!
 
SSH anajikwamisha mwenyewe, uwezo mdogo wa kufikira, ukurupukaji wa kutoa maamuzi mkubwa, ubinasfi na chuki juu.
Tuna document tu maamuzi yake ili baadaye apate stahili yake.
Mosi, Kuruhusu wawekezaji waje na expatriates as per their desire.

Mbili, amewakatisha tamaa TRA kukusanya kodi, mapato yakipungua yeye ndio chanzo.

Tatu, ameweka 14 days quarantine to all foreigners, hii ina direct impact kwa utalii na biashara, ndani ya miezi 6 tu tutaona madhara.

Nne, amerudisha Ikulu Dsm, ina maana fedha yote iliyotumika kujenga Dodoma imepotea.

Tano, amekuwa modern Chief Mangungo kwa kuuza dhahabu kwa kioo, rejea makubaliono yake Kenya.
Nimekupuuza bure, ujii usemalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SSH anajikwamisha mwenyewe, uwezo mdogo wa kufikira, ukurupukaji wa kutoa maamuzi mkubwa, ubinasfi na chuki juu.
Tuna document tu maamuzi yake ili baadaye apate stahili yake.
Mosi, Kuruhusu wawekezaji waje na expatriates as per their desire.

Mbili, amewakatisha tamaa TRA kukusanya kodi, mapato yakipungua yeye ndio chanzo.

Tatu, ameweka 14 days quarantine to all foreigners, hii ina direct impact kwa utalii na biashara, ndani ya miezi 6 tu tutaona madhara.

Nne, amerudisha Ikulu Dsm, ina maana fedha yote iliyotumika kujenga Dodoma imepotea.

Tano, amekuwa modern Chief Mangungo kwa kuuza dhahabu kwa kioo, rejea makubaliono yake Kenya.
Sukuma Gang mtatumbuka sasa si mda mrefu , si kwa kufura huko😂😂😂😂 Yaani hamtaki kabisa kuongozwa na mwanamke tena Muslim, mnaonyesha kweupe jinsi mlivyo na tabia za Kirundi.
Hameni nchi mrudi makwenu.
 
Sukuma Gang mtatumbuka sasa si mda mrefu , si kwa kufura huko😂😂😂😂
Yaani hamtaki kabisa kuongozwa na mwanamke tena Muslim, mnaonyesha kweupe jinsi mlivyo na tabia za Kirundi.
Hameni nchi mrudi makwenu.

Zamu yao sasa. Hawakukosea walionena "mwosha husishwa." Watulie dawa iwaingie.
 
Back
Top Bottom