Wamulikwe wanaotumiwa kudhoofisha jitihada za Rais Samia Suluhu

Wamulikwe wanaotumiwa kudhoofisha jitihada za Rais Samia Suluhu

Mwigulu Nchemba, Job Ndungai, Askofu Gwajima, Tulia Akson ,,,,,,,,,,.anzie na hawa
 
Msimfundishe udikteta mama si nyie mmesema kua ni haki ya demokrasia kila mtu kutoa hoja zake
Tulia dawa ikuingie uhuru na demokrasia vinakoma pale "uongo, uzandiki, uhujumu, uasi, uhaini, kuingilia uhuru wa mtu mwingine au kutotii mamlaka" vinapojitokeza...
Ukikosa adabu utaadabishwa lakini hautobambikiziwa kesi ya kutakatisha wala kupotezwa... demokrasia itatumika
 
Tulia dawa ikuingie uhuru na demokrasia vinakoma pale "uongo, uzandiki, uhujumu, uasi, uhaini, kuingilia uhuru wa mtu mwingine au kutotii mamlaka" vinapojitokeza...
Ukikosa adabu utaadabishwa lakini hautobambikiziwa kesi ya kutakatisha wala kupotezwa... demokrasia itatumika
Sasa kumbe mnajua haya Sasa mlikua mnalia Lia nn
 
Mabibi na mabwana, mama Samia kadhamiria kwa dhati kabisa kutuvusha salama kama taifa.

Hii ni katika masuala yote msingi yakiwamo ya afya zetu na pia katika ujenzi wa taifa.

Kuhusiana na afya zetu hasa gonjwa hili linalotikisa dunia, mama Samia aliteua tume ya wataalamu ambayo tayari imeshatoa ripoti yake. Kilichobakia hapa, sasa ni utekelezaji tu.

Apongezwe sana mama Samia kwenye hili

Lingine la msingi ni ripoti za CAG kuhusiana na TPA na BOT. Hili linagusa moja kwa moja na ulipo mzizi halisi wa matatizo yetu haswa, ya kiuchumi.

Ripoti hizi na hatua husika zitakazofuata kuhusiana na ripoti hizi yatatueweka katika nafasi bora sana.

Hii nchi imekuwa ikichezewa mno kiuchumi katika awamu zote zilizopita. Tuliowaamini na waaminiwa wengi, wamekuwa ni kikwazo kikubwa. Hili bila exception awamu kwa awamu.

Yamekuwa yale ya umdhaniaye siye ndiye!

Pana haja ikibidi ya kutumia nguvu (minimum force) kuwadhibiti baadhi ya wanaoonekana kujitokeza kutaka kumkwamisha mama kwa sababu zao binafsi. Watambue kuwa urais unastahili heshima kama nilivyokuwa ikisisitizwa kwenye awamu ile.

Watu hawa wanaoonekana ni vibaraka wanotumiwa
na watu wasiolitakia mema taifa hili wakiwamo mabeberu. Watu hawa si wa kuvumiliwa hata kidogo.

Litakuwa jambo la msingi sana sote tukamwuunga mkono mama Samia anapodhamiria kulijenga taifa hili kuwa la haki kamili, kwa kutowaonea haya wenzetu wote ambao wanaonyesha kuwa mabingwa wa kukosa uzalendo.

Washindwe na walegee.

Ninawasilisha.
Atuachie nchi yetu aende kudemka huko visiwani.
 
Mbona Serengeti ilishakauka kitambo ndugu au una ndege zako zilizokuwa zikileta watalii? au mwenzetu unaishi pluto?
SSH anajikwamisha mwenyewe, uwezo mdogo wa kufikira, ukurupukaji wa kutoa maamuzi mkubwa, ubinasfi na chuki juu.
Tuna document tu maamuzi yake ili baadaye apate stahili yake.
Mosi, Kuruhusu wawekezaji waje na expatriates as per their desire.

Mbili, amewakatisha tamaa TRA kukusanya kodi, mapato yakipungua yeye ndio chanzo.

Tatu, ameweka 14 days quarantine to all foreigners, hii ina direct impact kwa utalii na biashara, ndani ya miezi 6 tu tutaona madhara.

Nne, amerudisha Ikulu Dsm, ina maana fedha yote iliyotumika kujenga Dodoma imepotea.

Tano, amekuwa modern Chief Mangungo kwa kuuza dhahabu kwa kioo, rejea makubaliono yake Kenya.
 
Si nyie mlio kua mnamwita magufuli dikteta kisa ku deal na watoto wajinga wajinga
Jitafakari... ilisemwa "ole wao wanaoipinga serikali..." mkashangilia kwa viunu na vigelegele...
 
Si nyie mlio kua mnamwita magufuli dikteta kisa ku deal na watoto wajinga wajinga

Kina Ben, Azory, hata wale waliobambikiziwa kesi nk hawakuwa watoto wajinga wajinga kama unavyowaita wewe.

Mama na asaidiwe kuwafichua wajinga wajinga kama wewe wanaotukana viongozi mitandaoni kama wewe. Hizo si ndiyo zilikuwa lugha zenu?
 
Atuachie nchi yetu aende kudemka huko visiwani.

Huu ni ubaguzi wa wazi. Hivi kamanda Sirro na kile kitengo cha cybercrime waliacha kazi yao waliyokuwa wakiifanya kwa juhudi kubwa kipindi cha mwendazake?

Heshimuni taasisi ya urais. Mmeshindwa kutambua hii ni awamu ya sita, hamieni hata Burundi mkaishi huko.
 
Nikiwalinganisha SSH na mwendazake - so far SSH kashampiku mwendazake kwa mbali kabisa, najua CCM mwendazake wananunaa ila ukweli ndiyo huo.
 
Back
Top Bottom