Wamulikwe wanaotumiwa kudhoofisha jitihada za Rais Samia Suluhu

Huo ni uhuru wa kuongea na kutoa michango. Kukwamishwa ni yatokanayo katika kutimiza majukumu yako ya kiuongozi.
 
Well spoken.
 
We jamaa Ni mnafiki sana unachuki ya ajabu mkabila ,mzandiki na muhafidhina wa kiwango cha Phd.

Mwendazake hutamuona Tena mpk doom day
 
Mbona na wewe unabagua. Nchi imemshinda ova.
 
Mbona na wewe unabagua. Nchi imemshinda ova.

Mimi sibagui hata kidogo kwa kukuitisha kuuweka uzalendo mbele.

Mwendazake kwa watu kupotea, taasisisi kubambikia watu kesi, yale ya kina ole wa Hai, bashite na wenzao, magonjwa hatari na nyungu, nk ni wazi kuwa nchi ilikuwa imemshinda kabisa.

Katu si mama ambaye hapa tulipo, tuko vizuri kwenye Corona na tuna subiri reports za CAG.

Awe kahusika Mpango, Majaliwa au wewe, mwizi ni mwizi tu. Segerea zitawahusu kwa nguvu ile ile aliyokuwa mwendazake kwa watesi wake.
 
Basi utasubiri sana.!
hujui kwamba CCM ni ile ile
 
Basi utasubiri sana.!
hujui kwamba CCM ni ile ile

CCM ya Corona ni vita vya kiuchumi ni hii hii?

CCM ya watu wasiojulikana ni hii hii?

CCM ya dhuluma ni hii hii?

CCM ya kina jiwe ni hii hii?

.........

CCM ya serikali ya kubambikia watu wake kesi ni hii hii?

Yapo mengi mno mkuu.

Aaah wapi?

Hi bagosha!
 
Kwa heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…