Wana-CHADEMA cross examinationa ya Mahita Jr na Ramadhan Kingai yasitupe kiburi,kesi bado mbichi sana. Ushahidi ni ishu pana

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Kiuhalisia ni kuwa ushahidi lazima uwe na relevant fact juu tuhuma husika.

Kwamba shahidi wa kwanza na wa pili wameonyesha kuchemka kwa kutokuwa na relevent facts, hii bado ni mbichi sana. Tuache kupiga kelele za kishamba.

Ushahidi ni suala jumuishi, leo ushahidi wa shahidi namba moja mnaweza kuuona kuwa sio relevant to fact in ishu ila ukaja kukonnect huko mbele. Tuache mihemuko.

Kesi ya jinai ni suala pana hivyo tuache kwanza majumuisho ya mashahidi wote yafanyike kisha tutapata ukweli.

Tuwe tunajadili mada kama tumeenda shule.
 
Ukisikia mtu mzima aakiambiwa sema maji anasema 'mma' ndio hii sasa, jamaa kapelekewa moto mpaka hana hamu, Chadema mna mawakili wapo vizuri, hii kesi serikali imeshindwa. dalili ya mvua...
 
wee ni kingai?
 
Sehemu kubwa ya mashahidi upande mashtaka ni hao hao polisi. Sijui kama kutakuwa na jipya zaidi ya kuendelea kukanganyana wao wa kwao. Kumbuka mwisho wa ubaya ni aibu. Producing burden of proof has turned to be producing burden of shame to them.
 
Peleka huu ujinga wako CCM .Wewe siyo CHADEMA ni Lumumba FC
 
Hii ni kesi ndani ya kesi na ndiyo itakayotoa mwelekeo wa kesi husika.
 
Mtoa mada ni aidha mwanachuo wa Sheria mwaka wa pili, tatu au nne. Yaani baada ya kusoma evidence Act kuhusu factum probandum, umekuja kumwaga desa hapa.

Kwa taarifa yako, ushahidi mzuri siyo ile wenye relevant facts only, bali ule wenye credibility before the court
 
Umeelewa mada inahusu nini?
 
Hakuna kesi pale upuuzi tu wa kupotezeana muda watu wazima wanatoa ushahidi kitoto sana wakati tuhuma ni nzito yaani kesi ya ugaidi primary tu polisi wanatoa reson tofauti na kujichanganya changanya kama kesi ya watoto waliodokoa nyama
Kiufupi watafeli vibaya sana na aibu juu!
 
Kwani ndugu wewe utakuwa shahidi wa ngapi Kati ya 24wale wa upande wa mashtaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…