Wana-CHADEMA cross examinationa ya Mahita Jr na Ramadhan Kingai yasitupe kiburi,kesi bado mbichi sana. Ushahidi ni ishu pana

Wana-CHADEMA cross examinationa ya Mahita Jr na Ramadhan Kingai yasitupe kiburi,kesi bado mbichi sana. Ushahidi ni ishu pana

Mtoa mada ni aidha mwanachuo wa Sheria mwaka wa pili, tatu au nne. Yaani baada ya kusoma evidence Act kuhusu factum probandum, umekuja kumwaga desa hapa.

Kwa taarifa yako, ushahidi mzuri siyo ile wenye relevant facts only, bali ule wenye credibility before the court
Na pili yake Mahakama inaanza kupata impression from the first moment. Shahidi wa mwanzo huwa muhimu Sana kwenye kujenga msingi wa kesi. It goes without saying, kuwa Hawa kina Kingai na Mahita na wngine wa wiki ijayo ndio cream ya Replic.

Kesi ya kutengeneza haiwezi kupita kirahusi kwenye stronghold ya mawakili Kama Kina Kibata et al.

Hapa Republic Labda ianze kumuandaa Pilato. Kipindi Cha mungu mtu iliwezekana Sana hii, kabla Allah hajaingilia Kati.
 
Kumbuka haya;.

1. Afande ACP Kungai ndiye aliyechunguza, kukamata, kuhoji watuhumiwa na kuandaa mashitaka....

2. Ndiye shahidi No. 1 wa jamhuri wa kujenga msingi wa ushahidi kuwatia hatiani watuhumiwa..!

LAKINI KAFANYEJE?

Kacheza blunder. Kajichanganya big time

Nyie mashahidi wengine mliobaki mtakuja kufanya mini sàsa?

Kumbuka kuwa hii ni kesi ya UGAIDI. Sasa mpaka hapo unaona picha yoyote ya ugaidi...?

Kaka, UONGO ni UONGO tu hata uupake rangi ya namna gani hauwezi kugeuka kuwa UKWELI...!
 
Kumbuka haya;.

1. Afande ACP Kungai ndiye aliyechunguza, kukamata, kuhoji watuhumiwa na kuandaa mashitaka....

2. Ndiye shahidi No. 1 wa jamhuri wa kujenga msingi wa ushahidi kuwatia hatiani watuhumiwa..!

LAKINI KAFANYEJE?

Kacheza blunder. Kajichanganya big time

Nyie mashahidi wengine mliobaki mtakuja kufanya mini sàsa?

Kumbuka kuwa hii ni kesi ya UGAIDI. Sasa mpaka hapo unaona picha yoyote ya ugaidi...?

Kaka, UONGO ni UONGO tu hata uupake rangi ya namna gani hauwezi kugeuka kuwa UKWELI...!
sure, nilisoma hesabu za logic ambazo hutumika sana na wachunguzi katika kuamua, zinazungumzia statement za UKWELI NA UONGO.....
UNAWEZA KOTE UKAONGEA UKWELI ILA STATEMENT MOJA UKAONGEA UONGO= JIBU LAKE WEWE NI MWOGO.

"THE SUCCESSFUL LAYWER CAN WIN A CASE IN A COURT BY STRONG REASONING"


Sasa hawa kina kingai,ziro, mahta baba mtoto waongo kabisa, Allah wasamehe hawajui wanalotenda ila mitumbo na ma v8 ndio wanatetea hata kudhuru wengine
 
Kiuhalisia ni kuwa ushahidi lazima uwe na relevant fact juu tuhuma husika.

Kwamba shahidi wa kwanza na wa pili wameonyesha kuchemka kwa kutokuwa na relevent facts, hii bado ni mbichi sana. Tuache kupiga kelele za kishamba.

Ushahidi ni suala jumuishi, leo ushahidi wa shahidi namba moja mnaweza kuuona kuwa sio relevant to fact in ishu ila ukaja kukonnect huko mbele. Tuache mihemuko.

Kesi ya jinai ni suala pana hivyo tuache kwanza majumuisho ya mashahidi wote yafanyike kisha tutapata ukweli.

Tuwe tunajadili mada kama tumeenda shule.

Kwani hadi umekuja kuandika uzi hayo madodoso yamekugusa, au?
 
Kiuhalisia ni kuwa ushahidi lazima uwe na relevant fact juu tuhuma husika.

Kwamba shahidi wa kwanza na wa pili wameonyesha kuchemka kwa kutokuwa na relevent facts, hii bado ni mbichi sana. Tuache kupiga kelele za kishamba.

Ushahidi ni suala jumuishi, leo ushahidi wa shahidi namba moja mnaweza kuuona kuwa sio relevant to fact in ishu ila ukaja kukonnect huko mbele. Tuache mihemuko.

Kesi ya jinai ni suala pana hivyo tuache kwanza majumuisho ya mashahidi wote yafanyike kisha tutapata ukweli.

Tuwe tunajadili mada kama tumeenda shule.
Mkuu sijui kama watakuelewa
When IGNORANCE SCREAMS, intelligence moves on.
 
Kiuhalisia ni kuwa ushahidi lazima uwe na relevant fact juu tuhuma husika.

Kwamba shahidi wa kwanza na wa pili wameonyesha kuchemka kwa kutokuwa na relevent facts, hii bado ni mbichi sana. Tuache kupiga kelele za kishamba.

Ushahidi ni suala jumuishi, leo ushahidi wa shahidi namba moja mnaweza kuuona kuwa sio relevant to fact in ishu ila ukaja kukonnect huko mbele. Tuache mihemuko.

Kesi ya jinai ni suala pana hivyo tuache kwanza majumuisho ya mashahidi wote yafanyike kisha tutapata ukweli.

Tuwe tunajadili mada kama tumeenda shule.
Tuondolee upumbavu wako wa kiccm hapa.
 
Mzee Mgaya amewata Chadema kuwa wa watulivu wakati huu ambao kesi ya mwenyekiti wao inaunguruma kwenye mahakama ya mafisadi.

Mgaya anasema siyo haki kuwakejeli na kuwashambulia kwa maneno yasiyo na staha Kingai na Mahita kwa sababu walikuwa wanatimiza wajibu wao kama walinzi wa amani.

Tumuache Jaji aamue kwa haki amesisitiza Mgaya!
 
Mzee Mgaya amewata Chadema kuwa wa watulivu wakati huu ambao kesi ya mwenyekiti wao inaunguruma kwenye mahakama ya mafisadi
Mgaya anasema siyo haki kuwakejeli na kuwashambulia kwa maneno yasiyo na staha Kingai na Mahita kwa sababu walikuwa wanatimiza wajibu wao kama walinzi wa amani.

Tumuache Jaji aamue kwa haki amesisitiza Mgaya!
Kama wamechafuka siwatajiosha?
 
Huwezi kuchafuka ukiwa msafi . Ukweli huwa na tabia ya kujionesha wazi pasi na shaka. Hao magaidi Kingai na Mahita wanahitajika kufika Mahakamani wajisafishe wenyewe kwa kutuonesha alipo Moses Lijenje na Denis Urio kwanza.
Halafu tutawahoji mengine.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mwambie mzee Mgaya hii kesi ni ya hovyo, haina maslahi kwa taifa na inaleta taharuki katika jamii bila sababu ya msingi!! Awamu ya sita tangu imeingia madarakani imeshafuta kesi za hovyo hovyo za awamu ya 5 zaidi ya 200, waifute na hii pia!!
 
Mwambie mzee Mgaya hii kesi ni ya hovyo, haina maslahi kwa taifa na inaleta taharuki katika jamii bila sababu ya msingi!! Awamu ya sita tangu imeingia madarakani imeshafuta kesi za hovyo hovyo za awamu ya 5 zaidi ya 200, waifute na hii pia!!
Wapo wanaoifurahia kama akina comte,kiturilo,mtambuka na baadhi ya mazuzu. Tena wanatanguliza hukumu zao, sijui walijifunza wapi kutoa hukumu Bila kesi kusikilizwa.
 
Mzee Mgaya amewata Chadema kuwa wa watulivu wakati huu ambao kesi ya mwenyekiti wao inaunguruma kwenye mahakama ya mafisadi.

Mgaya anasema siyo haki kuwakejeli na kuwashambulia kwa maneno yasiyo na staha Kingai na Mahita kwa sababu walikuwa wanatimiza wajibu wao kama walinzi wa amani.

Tumuache Jaji aamue kwa haki amesisitiza Mgaya!
Sasa hao makolo ambao wameshagalagala kwenye tope utasemaje CDM inawachafua ?
 
Back
Top Bottom