Wana-CHADEMA cross examinationa ya Mahita Jr na Ramadhan Kingai yasitupe kiburi,kesi bado mbichi sana. Ushahidi ni ishu pana

Wana-CHADEMA cross examinationa ya Mahita Jr na Ramadhan Kingai yasitupe kiburi,kesi bado mbichi sana. Ushahidi ni ishu pana

Huyu babu ni mwanga sana
Mzee Mgaya amewata Chadema kuwa wa watulivu wakati huu ambao kesi ya mwenyekiti wao inaunguruma kwenye mahakama ya mafisadi.

Mgaya anasema siyo haki kuwakejeli na kuwashambulia kwa maneno yasiyo na staha Kingai na Mahita kwa sababu walikuwa wanatimiza wajibu wao kama walinzi wa amani.

Tumuache Jaji aamue kwa haki amesisitiza Mgaya!
 
Kiuhalisia ni kuwa ushahidi lazima uwe na relevant fact juu tuhuma husika.

Kwamba shahidi wa kwanza na wa pili wameonyesha kuchemka kwa kutokuwa na relevent facts, hii bado ni mbichi sana. Tuache kupiga kelele za kishamba.

Ushahidi ni suala jumuishi, leo ushahidi wa shahidi namba moja mnaweza kuuona kuwa sio relevant to fact in ishu ila ukaja kukonnect huko mbele. Tuache mihemuko.

Kesi ya jinai ni suala pana hivyo tuache kwanza majumuisho ya mashahidi wote yafanyike kisha tutapata ukweli.

Tuwe tunajadili mada kama tumeenda shule.
Ambao tulikimbia umande tunajadili wapi?🏃🏃
 
Back
Top Bottom