Wana CHADEMA sikiliza clip hii na ifanyie kazi kuweka taswira sawa

Wana CHADEMA sikiliza clip hii na ifanyie kazi kuweka taswira sawa

Yuko sahihi kabisa. Bila jitihada za Mbowe, Tundu Lissu angalikuwa kaburini. Jitihada za Mbowe zilimuwezesha kwenda Nairobi hadi Ubeligiji badala ya kwenda kaburini. Lissu angalikuwa siyo fool angalimuona Mbowe kama Mungu wake wa pili, hangalithubutu hata kidogo kumfanyia haya aliyomfanyia. Only a fool can do that. Siasa na matamanio ya kuwa raisi wa JMT hayapaswi kukufanya uwe a fool. He will never succeed. Ndiyo mwisho wake na mwisho wa umaarufu wa chadema.
Kubali kuwa kwa sasa CDM sio saccos ya Mbowe & Co.
 
Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.

Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!

Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
nadhani siasa za chuki na uhasama miongoni mwa wana chadema zitaendelea kukigawanya chama hicho kwa maneno na matendo hasa siku za uchaguzi hususani uchaguzi mkuu wa oct.2025,,

kwa sababu hiyo,
kwa makusudi kuna maeneo wanachadema watapigia kura vyama vingine kama ishara ya kuonyesha ghadhabu zao dhidi ya matusi waliokua wakirushiana wagombea na wafuasi wao katika uchaguzi wa ndani ya chadema uliomalizika majuzi :MODS:
 
Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.

Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!

Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
Wenye akili tulisema sema wapumbavu na washenzi huwa na kelele sana!
 
Mambo mengine ni vigumu kuamini kwa kweli, wakati anamzushia JPM mbona mlikuwa mnamshangilia? Kama kuna watu walikesha kumzushia uongo JPM basi ni viongozi wengi wa Chadema so jinsi mnavyoumia nyie kuzushiwa vivyo hivyo JPM aliumizwa na uzushi wenu hivyo kila unachomtendea mwenzako ipo siku kitakurudia hivyo muwe wapole tu.
 
Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.

Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!

Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
Huyu mjinga ndo anaongea nini? Hana sababu alikuwa na mapenzi na Mbowe! Mwacheni aondoke zake maana hana mchango na ana mapenzi yake binafsi!
 
Retired Lusungo Ngongo bado wanapinga ushindi wa Lissu
Sipingi ushindi wa Lissu hata kidogo.

Ujinga wa Lissu ni kudharau kazi kubwa na nzuri ya Mbowe.

Upuuzi wa Lissu ni kuwaaminisha watu kwamba yeye atafanya vizuri zaidi kwakuwa ana akili nyingi wenzake ni wajinga.

Upuuzi wa Lissu ni kuwasingizia viongozi wa zamani walilamba asali sasa yeye ambaye hajalamba asali hatuoni anachofanya tangu achaguliwe.

Upuuzi wa Lissu ni kufanya kampeni chafu za kuwachafua viongozi wenzake hasa Mbowe ambaye kamfanyia mambo mengi mazuri na makubwa.
 
Sipingi ushindi wa Lissu hata kidogo.

Ujinga wa Lissu ni kudharau kazi kubwa na nzuri ya Mbowe.

Upuuzi wa Lissu ni kuwaaminisha watu kwamba yeye atafanya vizuri zaidi kwakuwa ana akili nyingi wenzake ni wajinga.

Upuuzi wa Lissu ni kuwasingizia viongozi wa zamani walilamba asali sasa yeye ambaye hajalamba asali hatuoni anachofanya tangu achaguliwe.

Upuuzi wa Lissu ni kufanya kampeni chafu za kuwachafua viongozi wenzake hasa Mbowe ambaye kamfanyia mambo mengi mazuri na makubwa.
Maneno ya kwenye kampeni bado mmeyashikilia tu ?.....ondokeni kwenye 'campaign mode ' maisha mengine yaendelee maana uchaguzi ulishakwisha.

Fundi Mchundo JokaKuu
 
Maneno ya kwenye kampeni bado mmeyashikilia tu ?.....ondokeni kwenye 'campaign mode ' maisha mengine yaendelee maana uchaguzi ulishakwisha.

Fundi Mchundo JokaKuu
Nyie mna utoto sana maneno ya kuchafuana kiasi kile yanafutikaje?? Lissu kadharaulika mno na wenye akili zao na hatafika popote tupo hapa!!

Binafsi nilimpenda sana lakini sahv namuona kama kinyesi!! Sikuwahi fikiri Lissu ni mshenzi kiasi kile
 
uyu anajiita "ABIHUDI" yupo kwenye mtandao wa "CLUB HOUSE" ana kikundi chake kinautwa "KWANINI LAKINI" anaishi nchini UINGEREZA ila anajifanya anakaa USA, kila siku saa 1:30 Usiku anafungua mijadala kumtukana TUNDU LISSU, kipindi cha kampeni za chadema alikuwa TEAM MBOWE, unategemea anawezaje kuongelea mazuri ya LISSU uyo ABIHUDI aka anajiita "Nyuro scietist", ni genge la MBOWE mabalo bado halijapona maumivu ya uchaguzi na mpaka muda huu bado hawaamini kama chama kimetoka kwenye mikono ya MBOWE.
Lakini msikilize, concern yake ni campaign by character assassination. Je, was that done by Lusu, kama hakufanya, then tumpuuze, kama alifanya tafuta njia ya kufuta hayo!
 
Sipingi ushindi wa Lissu hata kidogo.

Ujinga wa Lissu ni kudharau kazi kubwa na nzuri ya Mbowe.

Upuuzi wa Lissu ni kuwaaminisha watu kwamba yeye atafanya vizuri zaidi kwakuwa ana akili nyingi wenzake ni wajinga.

Upuuzi wa Lissu ni kuwasingizia viongozi wa zamani walilamba asali sasa yeye ambaye hajalamba asali hatuoni anachofanya tangu achaguliwe.

Upuuzi wa Lissu ni kufanya kampeni chafu za kuwachafua viongozi wenzake hasa Mbowe ambaye kamfanyia mambo mengi mazuri na makubwa.
Upuuzi wako ni kupindisha maneno ili kumpa jina baya Lissu. Kubalini matokeo uchaguzi umekwisha kazi iliyopo ni kuikabili CCM haya maombolezo yenu yanawaletea sonona bure kwani hawawezi kubadilisha matokeo sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
Back
Top Bottom