CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sasa utaendelea kulirudia rudia hilo neno hadi lini? Yale yalikuwa mambo ya uchaguzi mbona na yeye Lissu alichafuliwa sana tena hadi matusi ya nguoni?Hapana, hapana ushindi ni wa haki, alishinda kwa haki....52 Vs 48! GOOD! BUT THE WAY TO THE THRONE WAS QUITE UNPLEASANT