CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sasa utaendelea kulirudia rudia hilo neno hadi lini? Yale yalikuwa mambo ya uchaguzi mbona na yeye Lissu alichafuliwa sana tena hadi matusi ya nguoni?Hapana, hapana ushindi ni wa haki, alishinda kwa haki....52 Vs 48! GOOD! BUT THE WAY TO THE THRONE WAS QUITE UNPLEASANT
Wachaga bado mnahasira tu,Note: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.
Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!
Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
Mangi unateseka sana.Lissu ni mpuuzi wa kiwango cha juu.
Yeye lissu kamwite mbowe fisadiMkuu ulitaka Mbowe aendelee kuongoza CHADEMA kwasababu gani? Hadi umwite Makamu mwenyekiti kama Mpuuzi
😂😂😂 brother you better know more deep about ccm.. Uchaguzi u me is ha TAL ameshinda tumpe muda ajenge chamaNote: kama huwezi kuweka maoni yako bila matusi, just skip this thread/post and forge ahead.
Niliandika hapa kuhusu character assassination tuliyoshuhudia wakati wa kampeni....... it is still lingering in the minds of rational-thinking members of society!
Najua kutakuwa na bitter and fierce reactions matusi, kejeli and the like! Let us go!
Makamanda wangu hawa hii trauma itapita na watapoa nawaaminia sana
KabisaNyie mna utoto sana maneno ya kuchafuana kiasi kile yanafutikaje?? Lissu kadharaulika mno na wenye akili zao na hatafika popote tupo hapa!!
Binafsi nilimpenda sana lakini sahv namuona kama kinyesi!! Sikuwahi fikiri Lissu ni mshenzi kiasi kile
Mangi wa KyelaMangi unateseka sana.
Utasubiri sana.Makamanda wangu hawa hii trauma itapita na watapoa nawaaminia sana
Sasa kwanini haumkubali Chairman?Mangi wa Kyela
Wapi alisema kuwa Mbowe ni Fisadi?Yeye lissu kamwite mbowe fisadi
Hatuna na hatujawahi kugombana.. Let love prevailUtasubiri sana.
Huwezi furahia au shupalia upumbavu kama wewe si mshenzi…. Dislike na hii.hakuna washenzi, ni kila mtu anavyoona mwelekeo wa anachokiamini.
Sioni namna Lissu na Lema wakiileta CDM ile…. The way Samia alivyocheza hii draft kupitia msigwa nilipoambiwa before sikuamini!! Samia sasa anakwenda kulala usingizi wa pono maana hii no reform no election aliitaka sana japo akina Wasira wanaigiza kutoitaka!!Kabisa
Yaani binadamu umfanye mungu wako wa pili!!??Yuko sahihi kabisa. Bila jitihada za Mbowe, Tundu Lissu angalikuwa kaburini. Jitihada za Mbowe zilimuwezesha kwenda Nairobi hadi Ubeligiji badala ya kwenda kaburini. Lissu angalikuwa siyo fool angalimuona Mbowe kama Mungu wake wa pili, hangalithubutu hata kidogo kumfanyia haya aliyomfanyia. Only a fool can do that. Siasa na matamanio ya kuwa raisi wa JMT hayapaswi kukufanya uwe a fool. He will never succeed. Ndiyo mwisho wake na mwisho wa umaarufu wa chadema.
Wachaga wapi hao,michepuko ya mtu hiyo.Wachaga bado mnahasira tu,
Kwa sababu alimshinda Mbowe?Lissu ni mpuuzi wa kiwango cha juu.