Wana-CHADEMA waliokula teuzi ndani ya CCM huku UVCCM wakibaki midomo wazi

CCM huwa wanasema CHADEMA haifai kupewa nchi kwasababu haina viongozi wa kutosha. Cha ajabu CCM wanapambana kupata watu kutoka CHADEMA na kuwapa vyeo.
CHADEMA ipo tayari 2025.
 
Unajuaje kama walikuwa wanachadema?
 
Namba 1 .Gaucho Minjino si Naibu Waziri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…