Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ccm iache kuwatelekeza makada wake .Ukiwaona uvccm huku mitaani walivyopauka midomo ni balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm iache kuwatelekeza makada wake .Ukiwaona uvccm huku mitaani walivyopauka midomo ni balaa
Mkuu, ndio maana mtoa hoja ana sema huko CCM wenye uwezo wa kuajiriwa Serikalini wameisha.Wewe endelea kupost picha za wakubwa utaendelea kuwa vuvuzela wenzako wnaakula Shavu.
Subiri Uone Peter Msigwa anapigwa kitu cha maana.
Si deal hata na hao wanafunzi sasawakija huko wanakutumbua unabambikizwa tuhuma ya kuwanajisi wanafunzi
Ofcourse Heshima ya Msigwa haikuwa ya Kitoto.Mkuu, ndio maana mtoa hoja ana sema huko CCM wenye uwezo wa kuajiriwa Serikalini wameisha.
Ona alivyopokelewa Msigwa, utadhani ni Rais wa Nchi Za Nje amekuja kuzuru TZ, maana all top party leaders walimlaki kwa heshima kubwa sana.
Kiukweli inawavunja moyo angalia hizi IDs kama zipo tenaCcm iache kuwatelekeza makada wake .
Ila Kila awamu inakuwa na 'mouthpiece ' wake huku JF.Kiukweli inawavunja moyo angalia hizi IDs kama zipo tena
1. Kipara Kipya
2. Trol JF
3. TumainEl
4. Stroke
5. Kawe Almn
6.Mudawote.
Hata hawa akina
Choice variable, Lucas etc watafika mahali watakata tamaa
HaHahaaIla Kila awamu inakuwa na 'mouthpiece ' wake huku JF.
Kulikuwa na kina Lizaboni jingalao enzi za awamu ya 4, wakaja kina Etwege na genge lake, Sasa ni Lucas Mwashambwa kashika usukani.
Ccm ni machawa waliokubuhu! Shwaini kabisa!CCM ina hazina kubwa ya wapumbavu ndiyo maana wanachukua akili kubwa toka Chadema.Vijana huko CCM wamebobea kwenye uchawa tu.
kuna madalali wa facebook walivamia sana ila kwa sasa naona wameanza kupotea.Ila Kila awamu inakuwa na 'mouthpiece ' wake huku JF.
Kulikuwa na kina Lizaboni jingalao enzi za awamu ya 4, wakaja kina Etwege na genge lake, Sasa ni Lucas Mwashambwa kashika usukani.
Bora hata ww nyumba yako iliishia kwenye lenta kipindi cha dhalimu magu.Ukiwaona uvccm huku mitaani walivyopauka midomo ni balaa
Nikikumbuka ile kipindi cha dhalimu magu ulivyolipuka na ile fix ya Tanzania ya viwanda, huwa nacheka vibaya.kuna madalali wa facebook walivamia sana ila kwa sasa naona wameanza kupotea.
Dr. Wilbord Slaa muondoe kwenye hiyo list yako, hajawahi kurudi Ccm huyo.Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.
Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.
Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.
1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden
Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.
Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.
Nani huyo?Nikikumbuka ile kipindi cha dhalimu magu ulivyolipuka na ile fix ya Tanzania ya viwanda, huwa nacheka vibaya.
Si haba alipata pata chochote.Bora hata ww nyumba yako iliishia kwenye lenta kipindi cha dhalimu magu.
I have proven 100 times ...na nitaendeleaNikikumbuka ile kipindi cha dhalimu magu ulivyolipuka na ile fix ya Tanzania ya viwanda, huwa nacheka vibaya.
Kaka Jingalao kumbe upo mzee?I have proven 100 times ...na nitaendelea
NipoKaka Jingalao kumbe upo mzee?
Mambo ya mitama tena?Kwa kuwa siasa ni mchezo, wewe ujue tu namna ya kucheza. Japo ukiingia uwanjani kuna kupigwa mtama tena kwa makusudi ujue namna ya kukwepa
Uvcckijani wamebobea kwenye uchawa pekee,ndio maana inaonyesha kuwa wanashahili kubakiamoo peekeeee,kwingine sio size yaooo🏋♂️Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.
Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.
Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.
1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden
Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.
Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.