Wana-CHADEMA waliokula teuzi ndani ya CCM huku UVCCM wakibaki midomo wazi

Wana-CHADEMA waliokula teuzi ndani ya CCM huku UVCCM wakibaki midomo wazi

Wewe endelea kupost picha za wakubwa utaendelea kuwa vuvuzela wenzako wnaakula Shavu.

Subiri Uone Peter Msigwa anapigwa kitu cha maana.
Mkuu, ndio maana mtoa hoja ana sema huko CCM wenye uwezo wa kuajiriwa Serikalini wameisha.
Ona alivyopokelewa Msigwa, utadhani ni Rais wa Nchi Za Nje amekuja kuzuru TZ, maana all top party leaders walimlaki kwa heshima kubwa sana.
 
Mkuu, ndio maana mtoa hoja ana sema huko CCM wenye uwezo wa kuajiriwa Serikalini wameisha.
Ona alivyopokelewa Msigwa, utadhani ni Rais wa Nchi Za Nje amekuja kuzuru TZ, maana all top party leaders walimlaki kwa heshima kubwa sana.
Ofcourse Heshima ya Msigwa haikuwa ya Kitoto.

He was a Great Man
 
Ccm iache kuwatelekeza makada wake .
Kiukweli inawavunja moyo angalia hizi IDs kama zipo tena
1. Kipara Kipya
2. Trol JF
3. TumainEl
4. Stroke
5. Kawe Almn
6.Mudawote.

Hata hawa akina
Choice variable, Lucas etc watafika mahali watakata tamaa
 
Kiukweli inawavunja moyo angalia hizi IDs kama zipo tena
1. Kipara Kipya
2. Trol JF
3. TumainEl
4. Stroke
5. Kawe Almn
6.Mudawote.

Hata hawa akina
Choice variable, Lucas etc watafika mahali watakata tamaa
Ila Kila awamu inakuwa na 'mouthpiece ' wake huku JF.

Kulikuwa na kina Lizaboni jingalao enzi za awamu ya 4, wakaja kina Etwege na genge lake, Sasa ni Lucas Mwashambwa kashika usukani.
 
Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.

Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.

Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.

1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden

Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.

Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.
Dr. Wilbord Slaa muondoe kwenye hiyo list yako, hajawahi kurudi Ccm huyo.

Kama una vielelezo vya kurudi kwake viweke.
 
Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.

Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.

Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.

1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden

Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.

Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.
Uvcckijani wamebobea kwenye uchawa pekee,ndio maana inaonyesha kuwa wanashahili kubakiamoo peekeeee,kwingine sio size yaooo🏋‍♂️
 
Back
Top Bottom