Wana-CHADEMA waliokula teuzi ndani ya CCM huku UVCCM wakibaki midomo wazi

Wana-CHADEMA waliokula teuzi ndani ya CCM huku UVCCM wakibaki midomo wazi

Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.

Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.

Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.

1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden

Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.

Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.
Kwani ukichukua sample ya damu zao, wanakuwa ni cdm? Au zinakuwa CCM? Acheni fikara za kizamani. Hivi, ni nadharia tu hazina msingi wowote
 
Kwani ukichukua sample ya damu zao, wanakuwa ni cdm? Au zinakuwa CCM? Acheni fikara za kizamani. Hivi, ni nadharia tu hazina msingi wowote
Mkuu tangu lini itikadi za vyama zikawa sehemu ya damu?
 
Mkuu tangu lini itikadi za vyama zikawa sehemu ya damu?
Obviously, nilikuwa najibu hoja kuwa walikuwa CDM sasa wapo CCM na wana vyeo huku wana CCM kindaki hawana vyeo.

Kwanza mm itikadi yangu si mpenda vyama, Ila ni mwananchi mzalendo. Kwa hiyo nilimjibu mtoa hoja, sijui ni ww au yupi.Lakin nilimaanisha kuwa ukiwa CDM ukaenda CCM ni sawa. ukatoka CCM ukaenda CDM ni sawa pia. Kuanza kusifia kuwa walikuwa CDM na sasa wana vyeo CCM huku waliokuwepo hawana vyeo, ndio sababu ya mm kusema je, wana damu ya CDM?
Mimi nafikiri, Sisi sote ni wananchi wa Tanzania. Vyama vinatupoteza tu.
 
Hapo ni suala la sungura na sizitaki mbichi hizi!
Kwenye modus operandi ya CCM na UVCCM ni kosa kubwa kuongea ukweli na kukosoa.Ukiwa MwanaCCM unachotakiwa ni kusifia tu hata mambo yasiyohitaji Sifa.
Ukijaribu kukosoa na kuelezea mawazo mbadala au kuzungumza fikra zako binafsi tayari unakuwa umejichimbia kaburi Kisiasa.
Kingine kinachoiponza UVCCM ni kwamba bila kuwa na nguvu ya Fedha au connection sahau kupata platform ya kufanyia siasa.
Je usipoonekana ni nani atakayekujua?
Upinzani unapata advantage kwa kuwa wanafanya siasa tofauti na CCM,siasa za kilibelari.Ilihali UVCCM wamekuzwa katika siasa za kihafidhina.
Kusajili wanasiasa kutoka upinzani na kuwapa vyeo kunatoa majibu ya muda mfupi tu.
Suluhisho ni kuifanyia overhaul UVCCM,iwe ni Independent wing ndani ya Chama.Vijana wafikiri kwa Uhuru zaidi,wapewe nafasi ya kushauri,waruhisiwe kukosoa na kutoa mapendekezo Yao kwa Uhuru.
Hii itasaidia Vijana kujitambua na kutambua nafasi Yao ndani ya Chama.
Moja ya jukumu kubwa la UVCCM ni kukilinda Chama na Viongozi wake,Ulinzi ni pamoja na kuhakikisha ustawi wa Chama.
UVCCM ya sasa haijui inachokifanya,haina mikakati.Wapo wapo tu,wanasubiri Mwenyekiti aseme wao watoke kumuunga mkono.Au Mwenyekiti akipigwa spana wao watoke kumtetea!
Kwa staili hii lazima Wapinzani waonekane Wana uwezo mkubwa tu,hata kama uwezo wao ni average!!
Mwisho wa siku Wapinzani watajaa ndani ya CCM,watakuwa na nguvu na hakuna atakayeweza kuwazuia.
Hapo ndipo ule utabiri wa Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM utakapotimia.
Umeeleza kila kitu.
 
Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.

Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.

Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.

1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden

Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.

Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.
Una uhakika walikuwa Wana Chadema?
 
Obviously, nilikuwa najibu hoja kuwa walikuwa CDM sasa wapo CCM na wana vyeo huku wana CCM kindaki hawana vyeo.

Kwanza mm itikadi yangu si mpenda vyama, Ila ni mwananchi mzalendo. Kwa hiyo nilimjibu mtoa hoja, sijui ni ww au yupi.Lakin nilimaanisha kuwa ukiwa CDM ukaenda CCM ni sawa. ukatoka CCM ukaenda CDM ni sawa pia. Kuanza kusifia kuwa walikuwa CDM na sasa wana vyeo CCM huku waliokuwepo hawana vyeo, ndio sababu ya mm kusema je, wana damu ya CDM?
Mimi nafikiri, Sisi sote ni wananchi wa Tanzania. Vyama vinatupoteza tu.
Sawa mkuu
 
Obviously, nilikuwa najibu hoja kuwa walikuwa CDM sasa wapo CCM na wana vyeo huku wana CCM kindaki hawana vyeo.

Kwanza mm itikadi yangu si mpenda vyama, Ila ni mwananchi mzalendo. Kwa hiyo nilimjibu mtoa hoja, sijui ni ww au yupi.Lakin nilimaanisha kuwa ukiwa CDM ukaenda CCM ni sawa. ukatoka CCM ukaenda CDM ni sawa pia. Kuanza kusifia kuwa walikuwa CDM na sasa wana vyeo CCM huku waliokuwepo hawana vyeo, ndio sababu ya mm kusema je, wana damu ya CDM?
Mimi nafikiri, Sisi sote ni wananchi wa Tanzania. Vyama vinatupoteza tu.
Una uhakika Kila aliyeko cdm ni mwana cdm? 🤣🤣

Jiwe aliwafunulia Siri Bado hamuelewi?

Si ajabu mtaishia kulalama kama vyura.
 
Una uhakika Kila aliyeko cdm ni mwana cdm? 🤣🤣

Jiwe aliwafunulia Siri Bado hamuelewi?

Si ajabu mtaishia kulalama kama vyura.
Alifunua siri gani alikuwa akiwatisha na waliogoma wamenyea hadi debe?
 
Hata shetan huwawinda waliowa Mungu hawahitaj waganga na wachawi sabu tyr ni wake
 
Usilolijua au lisilozungumzwa ni kuwa hao wote ni makada wa CCM kabla ya kuwa wapinzani.

Hao ni maafisa vipenyo. Rais akiingia madarakani analetewa majina ya Watumishi wa Taasisi na wako wapi Kama akiwataka anawaita.
Watu ni Wazito kuelewa picha linavoenda, Magufuli aliona wana CCM wengi ndani ya CCM wana makundi ikabidi awaite maafisa vipenyo walioko nje ya CCM awatumie, same kwa Samia akiona makundi yanazidi mtaanza kusikia watu wanaama upinzani kila siku

If you believe bila CCM kuvunjika kwa ndani kuna chama cha upinzani kitaitoa unajidanganya.
 
Hapa Tanzania kuna watu wamefanya siasa kwa miaka mingi hasa kupitia vyama vya Upinzani.

Kiukweli kufanya siasa za upinzani Tanzania na maeneo mengine kama Afrika sio kazi rahisi
Hata Hivyo pamoja na changamoto hizo bado Vijana wa Upinzani wanaonekana kuwa bora na wanafaa ktk ngazi mbali mbali za uongozi.

Tukumbushane hapa list ya vijana waliokula Teuzi na kula Kuku kwa Mrija baada ya kuhamia ccm na wakaonekana Dhahabu mbele ya Wenzao ndani ya chama na Serikalini pia.

1. Patrobasi Katambi-DC
2. David Kalulila- Kamishina PPP
3.Cecil David Mwambe- Mbunge Ndanda
4. Dr Vicent Mashinji- DC Serengeti
5. Julius Mtatiro- DC Tunduru
6. Peter Lijualikali- DC Nkasi
7. Juliana Shonza- Naibu Waziri Habari
8. Dr Wilbroad Slaa- Balozi Sweden

Hao ni baadhi tu..mnaweza kuongeza list.

Mwaka 2018 Pekee viongozi takribani 138 kutoka Chadema na CUF waliripotiwa kuhama vyama vyao na kuhamia CCM.
Mwita mwikwabe waitara pia yumo bila kumsahau dogoejanja Joshua nasari wengine wapo bungeni kama lusinde COVID-19 NAO ni Kwa hisani ya LUMUMBA biwwngi mno wapo kina kuchauka weeeeee ccm IPO mamulakani jina tu
 
Back
Top Bottom