Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #81
HasaswaaMwita mwikwabe waitara pia yumo bila kumsahau dogoejanja Joshua nasari wengine wapo bungeni kama lusinde COVID-19 NAO ni Kwa hisani ya LUMUMBA biwwngi mno wapo kina kuchauka weeeeee ccm IPO mamulakani jina tu
Tukianza na Lucas Mwashambwa.
Hahaaa Jf haichoshiMkuu CHURA ni ndugu yako? Naona mnashare surname
Mm siamini katika vyama ndugu yangu Choice variable. Naamini sana katika uzalendo na nchi yangu. Ukiamini kwenye vyama utachukia wengine na kuona chama chako ni kizuri kumbe ni uongo.Una uhakika Kila aliyeko cdm ni mwana cdm? 🤣🤣
Jiwe aliwafunulia Siri Bado hamuelewi?
Si ajabu mtaishia kulalama kama vyura.
Baki mwenyewe kuwa mzalendoMm siamini katika vyama ndugu yangu Choice variable. Naamini sana katika uzalendo na nchi yangu. Ukiamini kwenye vyama utachukia wengine na kuona chama chako ni kizuri kumbe ni uongo.
Wengi kwenye vyama ni wanafiki na waongo.Siku moja, tutakuwa na vyama visivyo na wezi na wanaki kama kama kule USA. Na kuachana na wachumia tumbo na wezi, na wanaomini kuwa bila wao hakuna vyama.
Wewe huutaki uzalendo?Baki mwenyewe kuwa mzalendo
AaahaaaaTukianza na Lucas Mwashambwa.
Sahihi.....wengine wanapokelewa na Polepole yeye kapokelewa na Mh RaisCHADEMA Ni chuo Cha mafunzo. Hata Msigwa atapewa post nzito maana tayari amekaangwa na kukaangika kwenye kikaango kikaangizi ambacho Ni Chadema.
Sasa hivi Msigwa Ni akili kubwa.
omba na iwe ivho lkn kukumbukwa ni ziada tuKuna Wanangu wawili Enzi za Adv nilikuwa nawapigisha Mapindi ya Maths School..Wamekuwa MaDc...Wakihamia hii Halmshauri niliopo sijui watanikumbuka Ticha wao.
Dada yangu 😂Mkuu, CHURA ni ndugu yako? Naona mnashare surname
Hahaha mkuu hii tuhuma kubwa mkuu!!Huyu anauza sukari za magendo tunduma aliwahi kufungwa miezi sita Kuna diwani wa mafisiem alimchomoa gerezani alishatinga jezi ya machungwa!!
Lucas Mwashambwa njoo huku Kuna watu wanakufahamu fika.Huyu anauza sukari za magendo tunduma aliwahi kufungwa miezi sita Kuna diwani wa mafisiem alimchomoa gerezani alishatinga jezi ya machungwa!!