Wana Dodoma mkiachana na Machinga Complex, ni kipi kingine Rais Samia Kawafanyia?

Wana Dodoma mkiachana na Machinga Complex, ni kipi kingine Rais Samia Kawafanyia?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).


Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.

Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.


Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.


Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!


Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
 
Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).


Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.

Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.


Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.


Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!


Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ChoiceVariable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makamba hata sura yake ,huulizi Mara mbili mbili kua ni mpigaji, mcheki tumacho, mcheki mdomo.

Mwigulu sura inaficha upigaji, ni ya kitakatifu ila siku hizi wachafu ndio wanavaa mavazi masafi.

Nape ,huyu bwana anasifa zote za wale watoto unakuta linasoma Darasa la tatu C, alafu ni lichibonge, linapenda kula kula, ila darasan zero.
 
Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).


Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.

Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.


Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.


Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!


Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
Kweli Dodoma tumshuru sana Magufuli,ila mama nae atafanya kitu.
 
Umetembea Dodoma mitaa gani,acha hizo.Dodoma ni moja wapo ya miji inayokuwa kwa kasi hapa Tanzania...
Mimi majina ya mitaa yenu siijui, ila nmetembelea sehem zote muhimu muhim kibiashara, shughuli za kiserikali na baadhi ya sehem za kitaasisi .


Dodoma usihangae kuona ni Jengo la ghorofa refuuuuuu ila limezungukwa na majani, tunjia twa vumbi , tuvichaka, uchafu uchafu pemben
 
Umefikia chedegwa ukatembea hadi machinga complex na kupiga picha nyerere square alafu unakuja na bandiko la kuiponda Dodoma mkuu?
Sas kama amefika Nyerere square na njedengwa maana yake si kaona maeneo yote muhimu dodoma.... kuanzia kisasa ,madeli , tambukareli,makulu ,town hapo Hadi bahi road... .[emoji1787][emoji1787]au unataka kusema mji wa serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sas kama amefika Nyerere square na njedengwa maana yake si kaona maeneo yote muhimu dodoma.... kuanzia kisasa ,madeli , tambukareli,makulu ,town hapo Hadi bahi road... .[emoji1787][emoji1787]au unataka kusema mji wa serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hajaona mengi, ajaiona mirembe huyo 😂
 
Dodoma kuchafu ?
Maeneo mengi kiusalama ni mabovu?
Huduma za kijamii zipo chini?
Tena huduma za kijamii zipo chiiini bin chiiini , chiiiini mnooo !!. Hata wakazi wanakiri.

Hakika, kimazingira usalama wa maeneo ni mdogo, mshukurin sana Kuhamia huko Kwa Serikali.


Uchafu kwelikweli , ni pachafuuu.
 
Back
Top Bottom