25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
[emoji3581]Nimeishi dodoma toka 2007-2021 na sasa nipo mwanza kiukweli kuilinganisha dodoma na mwanza ni dhambi, dodoma bado mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3581]Nimeishi dodoma toka 2007-2021 na sasa nipo mwanza kiukweli kuilinganisha dodoma na mwanza ni dhambi, dodoma bado mnoo
Sina mbavuInaikojolea mkojo upi ..Kwa kipi dom ilichonacho ...Ina KAZI ya kupambana na Tanga ije Arusha ndio ipambane na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
naweza nikakubaliana na ww kama ukilinganisha Dodoma na majiji makubwa ya ulaya ila siyo vjij vngne apa Tanzania cjui kwanza kunako nuka shombo [emoji23][emoji28][emoji2]Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).
Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.
Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.
Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.
Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!
Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
Napajua kapiri point tuNyuma kali kuliko mwanza mwanza unakujua?
HaaArea F - uraiyanii
na mwanza kuna wasukuma na ng'ombe2 hamna cha maanaDodoma ukiondoa wabunge na wanachuo kuna nini?labuda wagogo na warangi tu
Sahih kbsa ,Kweli Dodoma tumshuru sana Magufuli,ila mama nae atafanya kitu.
Ktk mjini unaojengwa vzr sna kwa mpngo miji haswa huu mji wa kiserekali ddm inaongzaa aisee sijui unaichukuliaje dddm hb HV sasMimi majina ya mitaa yenu siijui, ila nmetembelea sehem zote muhimu muhim kibiashara, shughuli za kiserikali na baadhi ya sehem za kitaasisi .
Dodoma usihangae kuona ni Jengo la ghorofa refuuuuuu ila limezungukwa na majani, tunjia twa vumbi , tuvichaka, uchafu uchafu pemben