Wana Dodoma mkiachana na Machinga Complex, ni kipi kingine Rais Samia Kawafanyia?

Wana Dodoma mkiachana na Machinga Complex, ni kipi kingine Rais Samia Kawafanyia?

Na mama ameshapakimbia, mawaziri nao wamepakimbia. Shughuli zote kwa sasa ni magogoni. Ndugai alihoji akaonekana mnoko.

Serikali ya mama inaona kuendelea kuihodhi Dodoma ni kuunga mkono jitihada za marehemu kitu ambacho ye na msoga department hawataki kusikia.
 
Kutegemea pesa za taifa kuijenga dodoma ni uzwazwa na ujinga.kwani dodoma wao hawana halmashauri kuijenga mji wao?
Acheni upumbavu kwa sasa taifa lina miradi mikubwa mno inayotumia pesa nyingi za serikali.
Hii nchi ya watu wote.kama dodoma inataka iendelee isitegemea pesa za serikali kuu itafuta pesa zake zenyewe kama Dar,mwanza
 
Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).


Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.

Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.


Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.


Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!


Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
Mwanza imejengwa na wafanya biashara Dodoma serikali hiyo ndio tofaoti serikali,miji yote dar mwanza arusha mbeya kahama inapendeza kwa sababu imejengwa na wafanya biashara sio serikali
 
Nimeishi dodoma toka 2007-2021 na sasa nipo mwanza kiukweli kuilinganisha dodoma na mwanza ni dhambi, dodoma bado mnoo
 
Umetembea Dodoma mitaa gani,acha hizo.Dodoma ni moja wapo ya miji inayokuwa kwa kasi hapa Tanzania...
Dodoma ukiondoa wabunge na wanachuo kuna nini?labuda wagogo na warangi tu
 
Umefikia chedegwa ukatembea hadi machinga complex na kupiga picha nyerere square alafu unakuja na bandiko la kuiponda Dodoma mkuu?
Dodoma hakuna wafanya biashara bali kuna wagogo na warangi tu mwanza kuna wafanya biashara tofaotisha
 
Nimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).


Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.

Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.


Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.


Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!


Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
Ngosha kwenye ubora wako
 
Mimi majina ya mitaa yenu siijui, ila nmetembelea sehem zote muhimu muhim kibiashara, shughuli za kiserikali na baadhi ya sehem za kitaasisi .


Dodoma usihangae kuona ni Jengo la ghorofa refuuuuuu ila limezungukwa na majani, tunjia twa vumbi , tuvichaka, uchafu uchafu pemben
Mkuu ni makuelewa watu walizani Dodoma itachangamka baada ya serikali kuhamia,wakasahau kuwa uchangamfu wa eneo uletwa na wafanya biashara sio serikali Dodoma hakuna mzunguko wa hela kama mwanza wabunge na wanachuo wakiondoka Dodoma kunasalia wagogo na warangi tu
 
Back
Top Bottom