Wapi ambapo pamepoa .....labda kwenu sumbawangaMiradi Iko kedekede ,Dom haipoi Wala haidodi ni ushamba wako na kuwa misinformed tuu.
Mwisho Magufuli hakuwa na mradi wa familia yeke hapo Dodoma na kinachoitwa miradi ya Magufuli sijui ni ipi hasa?
Mwanza
Kuna field ya Kuzunguka kwenye guests siku mbili? Huyo mbumbumbu na Wala hajui kituambaye ameenda field na kuona eneo husika na yule anayesoma mtandaoni kama wewe nani Yuko misinformed
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaikojolea mkojo upi ..Kwa kipi dom ilichonacho ...Ina KAZI ya kupambana na Tanga ije Arusha ndio ipambane na mwanzaNime post sana kwenye jukwaa lile ambalo Dom inaikojolea Mwanza,Kila kitu kipo kule..
Unaongea na limtu liko misinformed
Unataka kusema hyo dodoma itatumia siku ngapi kuimaliza kuzunguka.......Kuna field ya Kuzunguka kwenye guests siku mbili? Huyo mbumbumbu na Wala hajui kitu
Ikifika ijumaa ndiyo balaa viongozi wote wanarudi DAR Kula BATAHafu sikuhizi viongozi wamerudi Dar Kuna foleni za kufa mtu, serikali iendelee kuipa dodoma kumalizia ujenzi Dar kupumue
Mwanza imejengwa na wafanya biashara Dodoma serikali hiyo ndio tofaoti serikali,miji yote dar mwanza arusha mbeya kahama inapendeza kwa sababu imejengwa na wafanya biashara sio serikaliNimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).
Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.
Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.
Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.
Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!
Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
Lazima ufolole hata kama ange kuwepo magu Dodoma hakuna mzunguko wa hela ndio maana mwanza kuna wafanya biashara wengi tofaoti na dom[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ChoiceVariable
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma ukiondoa wabunge na wanachuo kuna nini?labuda wagogo na warangi tuUmetembea Dodoma mitaa gani,acha hizo.Dodoma ni moja wapo ya miji inayokuwa kwa kasi hapa Tanzania...
Kinacho fanya mji uwe mtamu ni wafanya biashara labda angekuwa anagawa hela kwa watuYule Mzee angekuwa hai huu mji WA Dodoma ungekuwa mtamu sana
Dodoma hakuna wafanya biashara bali kuna wagogo na warangi tu mwanza kuna wafanya biashara tofaotishaUmefikia chedegwa ukatembea hadi machinga complex na kupiga picha nyerere square alafu unakuja na bandiko la kuiponda Dodoma mkuu?
Ngosha kwenye ubora wakoNimekuapo Dodoma hapa Kwa wiki mbili, Wiki Moja nikiitumia kufanya yalonileta, Wiki Moja nikiitumia Kutembezwa tembezwa na Bidada Mmoja wa hapa JF( ubarikiwe Bidada ).
Itoshe tu kusema, katika watanzania Milion 61 , Watanzania wa Mkoa wa Dodoma, ni Watanzania ambao wanatakiwa Kila mwaka wafanye ibada ya kumkumbuka Hayati John Pombe Magufuli !!.
Mji umedorora, hamna projects Mpya ukiachilia mbali za Hayati JPM, kumbe Hayati asingelazimisha Serikali kuhamia Dodoma, Haka kamkoa kalikua ni kaajabu mnoo.
Dodoma hii ndio mnaishindanisha na Mwanza?? Ule Uzi wa kushindanisha ,sijawah usoma ,ila itoshe kusema ,Mwandishi wa ule Uzi alitumia kiungo kingine kufikiria Hilo na sio Akili.
Mji mchafu mchafu ,una vichaka na tumapori katikati ya jiji , Majani barabaran, Mji umepauka kinoma, huduma za kijamii zipo chiiini mnooo , maeneo mengi kiusalama hayako vizuri , maji ya chumviii kwelikweli !!
Mshukurin sana Mwamba Hayati JPM, kumbe ndio maana mlikua mnaongoza Kwa kua ombaomba.
Dodoma Kuna nyumba Kali sanaUmetembea Dodoma mitaa gani,acha hizo.Dodoma ni moja wapo ya miji inayokuwa kwa kasi hapa Tanzania...
Mkuu ni makuelewa watu walizani Dodoma itachangamka baada ya serikali kuhamia,wakasahau kuwa uchangamfu wa eneo uletwa na wafanya biashara sio serikali Dodoma hakuna mzunguko wa hela kama mwanza wabunge na wanachuo wakiondoka Dodoma kunasalia wagogo na warangi tuMimi majina ya mitaa yenu siijui, ila nmetembelea sehem zote muhimu muhim kibiashara, shughuli za kiserikali na baadhi ya sehem za kitaasisi .
Dodoma usihangae kuona ni Jengo la ghorofa refuuuuuu ila limezungukwa na majani, tunjia twa vumbi , tuvichaka, uchafu uchafu pemben
Sawa mkuu 😂Dodoma hakuna wafanya biashara bali kuna wagogo na warangi tu mwanza kuna wafanya biashara tofaotisha
Nyuma kali kuliko mwanza mwanza unakujua?Dodoma Kuna nyumba Kali sana