Wana Dodoma mkiachana na Machinga Complex, ni kipi kingine Rais Samia Kawafanyia?

naweza nikakubaliana na ww kama ukilinganisha Dodoma na majiji makubwa ya ulaya ila siyo vjij vngne apa Tanzania cjui kwanza kunako nuka shombo [emoji23][emoji28][emoji2]
 
Ktk mjini unaojengwa vzr sna kwa mpngo miji haswa huu mji wa kiserekali ddm inaongzaa aisee sijui unaichukuliaje dddm hb HV sas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…