Wana Gangilonga mpo?

Ngugu yangu huo ni mgawanyo wa kazi Wote tukiwa wanasheria nani atawaoshea magari yenu????

Sio kwamba ni jambo la ajabu mtu kuosha magari, kufagia barabara nk. Inauma pale mtu mlisoma pamoja tena mnapata elimu iliyo bora ila katika mgawanyo wa maisha anaishia huko, usidhani nimedharau bali nimepata simanzi.
 
Nilikuwa iringa aisee ile barabara toka ruaha mbuyuni ni kama ya ulaya ile standard sijaiona TZ hii. Wale mainjinia ni kiboka sijui wajerumani wale, kweli wamejitaidi kututendea haki.
 
Wazee wa miami pub, kati kwa mama siovelwa, hapo mitaa ya luxury pale kwenye mambo yetu dah.
 
tusker baridi,mimi nilimaliza 1982 nilikuwa na kaka yake zena mkwawa.
Je ulikuta mchaka mchaka wa kila asubuhi na kukaguliwa chupi kwenye hall?

Acha uongo! Enzi hizo chupi walikuwa wanavaa mademu!. Wewe ninani alikuachia hiyo chupi?.
 
Nimeskitika kusikia Classmate wangu John Mkandawire alifariki 2000.

Hivi Samora Tandala ambaye alikuwa mtoto wa wilaya enzi hizo yuuu wapi?
 
Nimeskitika kusikia Classmate wangu John Mkandawire alifariki 2000.

Hivi Samora Tandala ambaye alikuwa mtoto wa wilaya enzi hizo yuuu wapi?
Familia yao ilihamia peramio,songea.
 
Nilikuwa iringa aisee ile barabara toka ruaha mbuyuni ni kama ya ulaya ile standard sijaiona TZ hii. Wale mainjinia ni kiboka sijui wajerumani wale, kweli wamejitaidi kututendea haki.

niwa denmark
 
Shedadi na ndugu zake wote wa mekufa ila yule Dada yao chola yupo sinza.manyau anakaa kigogo.
tz1 hivi Cool nine naye alikufa?(spelling sina uhakika nazo),shetani huyu jamaa alikua mbabe sana mi nilisoma muungano primary ss kule ndo ilikua anga zake,Micki mbabe wa mitaa ya kienyeji na mshindo
 
Ile ni familia ya wezi Watatu waliuwawa kwa wizi na mdogo wao Ali tungu,alikoswa na kifo baada ya kutaka kuchomwa moto ZNZ.
 
tz1 hivi Cool nine naye alikufa?(spelling sina uhakika nazo),shetani huyu jamaa alikua mbabe sana mi nilisoma muungano primary ss kule ndo ilikua anga zake,Micki mbabe wa mitaa ya kienyeji na mshindo

Chola yule mwenye Pub jirani na Lion Hotel?
 
tumesoma wote mkuu,Abdul sabuni aliingia kwny kuvuta unga hapo ndipo alipoanza kupotea,ila hata mm Steve kibasa iliniuma sana jamaa alikuwa na kipaji na alianza kufanya uhalifu akiwa Iyunga Sec na akiwa Tosamaganga sec alifungwa jela kabla hajafanya mtihani wa form 6,James kambofi yupo Mby ni askari magereza
 
Pia kuna Jamaa alikuwa anaitwa Mwalimu alikuwa anakaa na kina Nashesha Mvungi Mtoto wa Meneja wa Tanesco Mkoa,Fred Mwanri Mtoto wa Mhasibu wa wilaya Iringa,Faraja na Fred Makari Baba yao alikuwa Meneja wa RTC wapo wapi hawa?
 
mwalimu yupo iringa,anfanya kazi tazama pipe line karibi na ilula.
 
Hbari za kusikitisha.Pita mitumba AKA pita makolgeti amefariki kama miezi 2 hukom Iringa.
RIP makolgati.
 
Pia kuna Jamaa alikuwa anaitwa Mwalimu alikuwa anakaa na kina Nashesha Mvungi Mtoto wa Meneja wa Tanesco Mkoa,Fred Mwanri Mtoto wa Mhasibu wa wilaya Iringa,Faraja na Fred Makari Baba yao alikuwa Meneja wa RTC wapo wapi hawa?

Mkuu unamzungumzia Fredy Makari mama yao alikuwa mwalimu Lugalo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…