LGE2024 Wana JF mmejiandikisha? hizi ni faida za kujiandikisha kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Haudhani sisi kutojiandikisha kumekuwezesha wewe kupata faida kubwa! Yaani wewe unakuwa na wema wa kutaka kiwango chako cha faida kishuke! Haiwezekani kwani wabongo si wema kiasi hicho, endeleeni tu kugawana faida.
 
Mmmmmh! Hiyo takwimu ndivyo ilivyo kweli au naota Mimi.
 
Nyumbu wakijiandikisha inatosha sana
 
Inaweza ikawa kweli au sio kweli,ila kutokujiandikisha ni ushindi mara mbili kuliko huo unaoita "kuiba kura"
 
Inaweza ikawa kweli au sio kweli,ila kutokujiandikisha ni ushindi mara mbili kuliko huo unaoita "kuiba kura"
Kwa maoni yangu binafsi kwakuwa lengo lao ni kupata huo unaoita "ushindi" basi washinde tu wawe viongozi waitwe waheshimiwa kuliko mimi kunyanyua miguu yangu na kupigwa na jua kwenye foleni ya kujiandikisha na kupiga kura halafu hiyo kura ikawa haina maana yoyote.
 
Usiseme hivyo mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…