Wana JF mnaofahamiana nje ya JF kwa sababu ya JF njooni

humu jamii forum najuana na watu wasiopungua 100,

Kuanzia wale ninaosoma nao na wengine wengi nimewapata humuhumu.

Wengine humu dada zangu wa hiyari,wengine wamekuwa wanangu sana.


Mmoja humu ni demu wangu na tunakaribia kufunga ndoa.
 
Nafahamu watu wengi member wa jf ila sijuagi id zao

blame no body
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…