Nj
Hizi Huwa ni njia dhaifu na za kivivu kwa askari vipi kama vocha imewekwa siku mbili nyuma alafu tukio likatoke siku mbili MBELE?Pole yake sana.
Hayo maujinga yanatumiwa sana na wahalifu, lengo likiwa ni kuchelewesha ufuatiliaji wa Polisi.
Mkuu siyo tiketi na document zingine muhimu tu, hata hizi vocha za kukwangua ni mbaya sana kutupa tupa ovyo.
Ikiokotwa na hao jamaa kisha kutupwa kwenye tukio, wakifuatilia vocha ilijazwa kwenye simu gani, utakwenda na maji.
Kuja kujulikana hauhusiki, pamepitwa!