Wana JF narudia tena, haribu kabisa tiketi au karatasi yenye taarifa zako kamili

Wana JF narudia tena, haribu kabisa tiketi au karatasi yenye taarifa zako kamili

Sijui tiketi yangu siku ile niliichana au laa! Tena niliitupa pale getini,akili iliniambia niichane kabla ya kuitupa,je mikono ilitekeleza?

Hatar sana!

Halafu somo lingine andika majina yako halisi gesti,kuna faida ya utetezi unaweza kuipata kama yakitokea majanga,mfano majanga yametokea dar ukahusishwa lkn kumbe ulikuwa namtumbo so inakuwa ize wakifuatilia uko katika guest list

Huwa tunaingia pia kwenye maofisi,huwa tunasaini tukiingia ila tukitoka hatusaini mda tuliotoka,haya yanatokea ya kutokea umeonekana ukiingia ila haukusomeka wakati wa kutoka hapo vipi?

Usidharau mambo
 
Jamani, Jamani

Wapendwa wa humu narudia tena, Chana au haribu kabisa tiketi au karatasi yoyote yenye taarifa zako sahihi kwa usalama wako.

Niko hapa Police Kimara, rafiki yangu wa kiume amekamatwa na kuwekwa ndani baada ya tiketi yake ya ki-electronic ya basi moja kutoka Arusha kuja Dar kukutwa kwenye tukio la uhalifu Kimara Bucha.

Yeye rafiki yangu anasema baada ya kushuka Mbezi Magufuli stendi, aliamua kuikunja na kuitupa tiketi yake karibu na lango la kutokea na baada ya hapo akaendelea na safari ya kuelekea kwake Tegeta.

Anasema zilipita siku 2 akapigiwa simu na police kuwa anahitajika kituoni Kimara.
Anasema hakwenda kwa kuhofia huenda ni watu wasio wema kisha akazima simu.

Anasema kesho yake anashangaa kuona police wako nyumbani kwake na wakamuweka chini ya ulinzi kwa kosa la uhalifu uliotokea maeneo ya Kimara bucha.

Na anasema walihisi walimpata kupitia Facebook, (mutual friend mmoja akatafutwa kisha akawaelekeza kwake).

Rafiki yangu si mtu wa kujichanganya sana na watu. Iwe usiku au mchana, akiwa ndani hujui na wala akienda kibaruani hujui.

Anasema ahusiki na tukio na wala hajafanya uhalifu wala kuwa na rekodi yoyote ya uhalifu.
Hapa tunashindwa cha kufanya.

Hatujui kama kweli kahusika au lah!

Sisi tunajua ahusiki ila binadamu hubadilika.

Ila maadam iko mikononi mwa jeshi la polisi tutajua tu hatma yake na wahusika halisi

Chana au haribu kabisa karatasi/tiketi ya basi/meli/treni/ndege/CV/copy yako ya NIDA na nyinginezo zenye taarifa zako sahihi.
Pole sana kwake. Mimi hata nikiweka vocha ya kukwangua huwa nachana. Nilielekezwaga na Afisa Upelelezi mmoja kwamba kukitokea tukio lolote kwenye kutafuta taarifa sahihi wanakusanya chochote kilichopo eneo hilo. So kwa mfano uhalifu umetokea and wakakuta vocha imekwanguliwa ndani ya eneo husika watafanya walichofanya kwa rafiki yako. Cha msingi tu awape ushirikiano watajua if he is guilty or not
 
Anasema kesho yake anashangaa kuona police wako nyumbani kwake na wakamuweka chini ya ulinzi kwa kosa la uhalifu uliotokea maeneo ya Kimara bucha.

Tiketi ya basi inahusiana vipi na uhalifu hata kama imekutwa eneo la uhalifu??

Anyway, tiketi za electronics huwa zinaacha footprint kwenye database husika iliyotumika kukata tiketi, mtandao wa simu nao hubaki na kumbukumbu...

Simu yake kama alisafiri inaacha alama za mahali alipotembelea kwenye database za mitandao ya simu...

Hakuna kesi hapo unless hii iwe togwa mixer alkasusu...
 
Vipi kama wabaya wake walikuwa nje kwake au kama walikuwa jirani na kituo cha police ila wametumia gia ya upolice?

Ndugu, suala la kutekwa lisikie kwa jirani.
Wangapi waliitwa na vyombo ya dola na hawakurudi mpaka leo?
Ndugu...acha kabisa mawazo hayo.
Ametuhumiwa kutenda kosa gani kwanza...
 
Tiketi ya basi inahusiana vipi na uhalifu hata kama imekutwa eneo la uhalifu??

Anyway, tiketi za electronics huwa zinaacha footprint kwenye database husika iliyotumika kukata tiketi, mtandao wa simu nao hubaki na kumbukumbu...

Simu yake kama alisafiri inaacha alama za mahali alipotembelea kwenye database za mitandao ya simu...

Hakuna kesi hapo unless hii iwe togwa mixer alkasusu...
Usichoelewa ni nini?
Hebu pitia post za niliowajibu ndipo uje kuuliza maswali yako hapa.

Tatizo unasoma post kuu na kujibu wakati nilishatoa ufafanuzi kwenye baadhi ya comments
 
Hoja yako ni ya muhimu sana ila binadamu wanabadilika na wana mambo yao ya chini chini ambayo ni siri yao na Mungu wao.

Kuna watu ni wastaarabu na wema sana ila ukijasikia balaa lao baada ya kukamatwa ndipo utaamini binadam ni kiumbe hatari sana.
 
Jamani, Jamani

Wapendwa wa humu narudia tena, Chana au haribu kabisa tiketi au karatasi yoyote yenye taarifa zako sahihi kwa usalama wako.

Niko hapa Police Kimara, rafiki yangu wa kiume amekamatwa na kuwekwa ndani baada ya tiketi yake ya ki-electronic ya basi moja kutoka Arusha kuja Dar kukutwa kwenye tukio la uhalifu Kimara Bucha.

Yeye rafiki yangu anasema baada ya kushuka Mbezi Magufuli stendi, aliamua kuikunja na kuitupa tiketi yake karibu na lango la kutokea na baada ya hapo akaendelea na safari ya kuelekea kwake Tegeta.

Anasema zilipita siku 2 akapigiwa simu na police kuwa anahitajika kituoni Kimara.
Anasema hakwenda kwa kuhofia huenda ni watu wasio wema kisha akazima simu.

Anasema kesho yake anashangaa kuona police wako nyumbani kwake na wakamuweka chini ya ulinzi kwa kosa la uhalifu uliotokea maeneo ya Kimara bucha.

Na anasema walihisi walimpata kupitia Facebook, (mutual friend mmoja akatafutwa kisha akawaelekeza kwake).

Rafiki yangu si mtu wa kujichanganya sana na watu. Iwe usiku au mchana, akiwa ndani hujui na wala akienda kibaruani hujui.

Anasema ahusiki na tukio na wala hajafanya uhalifu wala kuwa na rekodi yoyote ya uhalifu.
Hapa tunashindwa cha kufanya.

Hatujui kama kweli kahusika au lah!

Sisi tunajua ahusiki ila binadamu hubadilika.

Ila maadam iko mikononi mwa jeshi la polisi tutajua tu hatma yake na wahusika halisi

Chana au haribu kabisa karatasi/tiketi ya basi/meli/treni/ndege/CV/copy yako ya NIDA na nyinginezo zenye taarifa zako sahihi.
Nakumbushia na kusaini vitabu vya mahudhurio iwe kazin au sehem yoyote utakayoingia ambayo inahitaj kusaini
 
Jamani, Jamani

Wapendwa wa humu narudia tena, Chana au haribu kabisa tiketi au karatasi yoyote yenye taarifa zako sahihi kwa usalama wako.

Niko hapa Police Kimara, rafiki yangu wa kiume amekamatwa na kuwekwa ndani baada ya tiketi yake ya ki-electronic ya basi moja kutoka Arusha kuja Dar kukutwa kwenye tukio la uhalifu Kimara Bucha.

Yeye rafiki yangu anasema baada ya kushuka Mbezi Magufuli stendi, aliamua kuikunja na kuitupa tiketi yake karibu na lango la kutokea na baada ya hapo akaendelea na safari ya kuelekea kwake Tegeta.

Anasema zilipita siku 2 akapigiwa simu na police kuwa anahitajika kituoni Kimara.
Anasema hakwenda kwa kuhofia huenda ni watu wasio wema kisha akazima simu.

Anasema kesho yake anashangaa kuona police wako nyumbani kwake na wakamuweka chini ya ulinzi kwa kosa la uhalifu uliotokea maeneo ya Kimara bucha.

Na anasema walihisi walimpata kupitia Facebook, (mutual friend mmoja akatafutwa kisha akawaelekeza kwake).

Rafiki yangu si mtu wa kujichanganya sana na watu. Iwe usiku au mchana, akiwa ndani hujui na wala akienda kibaruani hujui.

Anasema ahusiki na tukio na wala hajafanya uhalifu wala kuwa na rekodi yoyote ya uhalifu.
Hapa tunashindwa cha kufanya.

Hatujui kama kweli kahusika au lah!

Sisi tunajua ahusiki ila binadamu hubadilika.

Ila maadam iko mikononi mwa jeshi la polisi tutajua tu hatma yake na wahusika halisi

Chana au haribu kabisa karatasi/tiketi ya basi/meli/treni/ndege/CV/copy yako ya NIDA na nyinginezo zenye taarifa zako sahihi.
Usichane wala kuharibu hifadhi vema nyumbani mpaka ipite walau wiki hivi.. Unaweza kuihitaji pia kama ushahidi katika mazingira kama hayohayo na mengineyo
 
Jamani, Jamani

Wapendwa wa humu narudia tena, Chana au haribu kabisa tiketi au karatasi yoyote yenye taarifa zako sahihi kwa usalama wako.

Niko hapa Police Kimara, rafiki yangu wa kiume amekamatwa na kuwekwa ndani baada ya tiketi yake ya ki-electronic ya basi moja kutoka Arusha kuja Dar kukutwa kwenye tukio la uhalifu Kimara Bucha.

Yeye rafiki yangu anasema baada ya kushuka Mbezi Magufuli stendi, aliamua kuikunja na kuitupa tiketi yake karibu na lango la kutokea na baada ya hapo akaendelea na safari ya kuelekea kwake Tegeta.

Anasema zilipita siku 2 akapigiwa simu na police kuwa anahitajika kituoni Kimara.
Anasema hakwenda kwa kuhofia huenda ni watu wasio wema kisha akazima simu.

Anasema kesho yake anashangaa kuona police wako nyumbani kwake na wakamuweka chini ya ulinzi kwa kosa la uhalifu uliotokea maeneo ya Kimara bucha.

Na anasema walihisi walimpata kupitia Facebook, (mutual friend mmoja akatafutwa kisha akawaelekeza kwake).

Rafiki yangu si mtu wa kujichanganya sana na watu. Iwe usiku au mchana, akiwa ndani hujui na wala akienda kibaruani hujui.

Anasema ahusiki na tukio na wala hajafanya uhalifu wala kuwa na rekodi yoyote ya uhalifu.
Hapa tunashindwa cha kufanya.

Hatujui kama kweli kahusika au lah!

Sisi tunajua ahusiki ila binadamu hubadilika.

Ila maadam iko mikononi mwa jeshi la polisi tutajua tu hatma yake na wahusika halisi

Chana au haribu kabisa karatasi/tiketi ya basi/meli/treni/ndege/CV/copy yako ya NIDA na nyinginezo zenye taarifa zako sahihi.
Du! Hawa mutual friends ni nyoko kabisa
 
Hiyo ya kuandika jina sahihi guest aisee imewahi kutokea Nairobi early 2000s sitasahau kuna raia walibebwa na kupewa kesi kubwa ya robbery sijui kama walikuja kuachiwa wale.
Tupe mkasa kidogo
 
Usichoelewa ni nini?
Hebu pitia post za niliowajibu ndipo uje kuuliza maswali yako hapa.

Tatizo unasoma post kuu na kujibu wakati nilishatoa ufafanuzi kwenye baadhi ya comments

Tatizo ni kwamba you're not a logical thinker kama hao polisi tu, naona umeshindwa kuelewa comment yangu kwamba polisi hawajawaza nje ya boksi wametumia shortcut kama kawaida yao...
 
Back
Top Bottom