Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,135
- 3,392
Polisi nao huwa hawaeleweki. Wengine nao ni vibaka tu. Na kuna wengine uwezo wa kiakili na kielimu ni duni. Wameajiriwa na div 4-30. na kila kitu wanataka kusolve kinguvu badala ya kufikiria kwa weledi mkubwa. Ifike mahali jeshi liwe linapima uwezo wa mtu kabla ya kumpa jukumu la upelelezi.
Aliyekamatwa kwenye hii story, kazi yake ya uwakala inawezekana pia imemhusisha na tukio fulani la dhuluma na sasa wameamua kumbambika hiyo kesi. Na pia inawezekana naye ni criminal na alihusika kwenye tukio la Kimara. Lolote linawezekana.
Aliyekamatwa kwenye hii story, kazi yake ya uwakala inawezekana pia imemhusisha na tukio fulani la dhuluma na sasa wameamua kumbambika hiyo kesi. Na pia inawezekana naye ni criminal na alihusika kwenye tukio la Kimara. Lolote linawezekana.