Wana JF narudia tena, haribu kabisa tiketi au karatasi yenye taarifa zako kamili

Wana JF narudia tena, haribu kabisa tiketi au karatasi yenye taarifa zako kamili

There is no way kwamba jamaa ahusiki, japo ndio anaweza asihusike kwa asilimia zote,

Ni kwamba ana amemkosea nani na kiasi gani kiasi kwamba awe Framed katika uhalifu..??

Kama ni tukio na kumdhuru mtu, huyo jamaa ana uhusiano gani na huyo mtu?

Kama ni tukio la wizi na ukabaji, jamaa ana shughuli gani hapa mjini ya kumuingizia kipato?
Jamaa ni wakala wa mitandao ya simu na ofisi yake iko hapa hapa Tegeta
Ndugu, yapo matukio mengi mno ya watu kufanya uhalifu kwa kutumia utambulisho wa mtu mwingine.
 
Anasema zilipita siku 2 akapigiwa simu na police kuwa anahitajika kituoni Kimara.
Anasema hakwenda kwa kuhofia huenda ni watu wasio wema kisha akazima simu.
HAPANA, HAPANA, hapana aiseeee akili Yangu inanigomea kukubali hili. Why azime Simu? Why asiripoti kwa Ndugu zake, mmmmmgh Watu hubadilika kama ulivyosema
 
HAPANA, HAPANA, hapana aiseeee akili Yangu inanigomea kukubali hili. Why azime Simu? Why asiripoti kwa Ndugu zake, mmmmmgh Watu hubadilika kama ulivyosema
Kabisa mkuu.
Ndio maana nikasema hivo.
Japo yeye kang'ang'ania kuwa alijua watekaji
 
Sio kwa tiketi, nahisi umeshatoa jibu... huenda Kesi ni nyingine na aihusiani na tiketi... atoe tu ushirikiano
Ndio, na ndio maana nikasema 'binadamu hubadilika'
Lakini tiketi kweli ni yake na imekutwa eneo la vita...how🤷‍♀️?
 
Siku hizi teknolojia imekuwa sana mtu anaweza kutumia taarifa zako hata kuiba hela kwenye account yako. Nawashauri watu wasitumie majina yao sahihi na tarehe zao za kuzaliwa hata kwenye mitandao mengine ya kijamii kama Insta na Facebook.
Kabisa kabisa mkuu.
 
Sio kwa tiketi iliyotoka mbezi ama popote pale hadi kufika kimara..., nahisi umeshatoa jibu... huenda Kesi ni nyingine na aihusiani na tiketi... atoe tu ushirikiano
Sikia, fanya research kidogo tu.
Sio kama namtetea ila napingana na hoja yako kuwa tiketi haiwezi kufanyiwa uhalifu.
Inaweza kutumiwa vizuri mno.

Ingia mitandaoni kisha utapata majibu.
 
Mimi ilikua almanusura kupigwa tukio kwenye guest fulani ndani ya mkoa Y, kosa nililofanya ni kuacha risiti zangu za benki kwenye dustbin la chumba nilichopanga, maana risiti huonyesha balance iliyobaki kwenye akaunti yangu.

Aisee the rest siwezi kuelezea mana story ni ndefu, ila nimejifunza hata leo nikienda ATM siombi risiti na hata nikiiomba ili kujua salio basi huichana papo hapo.
 
Mimi ilikua almanusura kupigwa tukio kwenye guest fulani ndani ya mkoa Y, kosa nililofanya ni kuacha risiti zangu za benki kwenye dustbin la chumba nilichopanga, maana risiti huonyesha balance iliyobaki kwenye akaunti yangu.

Aisee the rest siwezi kuelezea mana story ni ndefu, ila nimejifunza hata leo nikienda ATM siombi risiti na hata nikiiomba ili kujua salio basi huichana papo hapo.
Hapa apaone Ahyan
 
Sikia, fanya research kidogo tu.
Sio kama namtetea ila napingana na hoja yako kuwa tiketi haiwezi kufanyiwa uhalifu.
Inaweza kutumiwa vizuri mno.

Ingia mitandaoni kisha utapata majibu.
Sijakataa hoja yako wala kuipinga...

Mimi nimejiuliza maswali, nikaja na jambo, ambalo halileti uhalali kwamba yeye ndiye mhusika kwa 100%

Katoka Arusha kuja Dar,
Tiketi kaitupa (hatujui wapi)
Tukio linatokea (kimara)
Wananchi wameona tiketi yenye taarifa zake (anajulikana huo mtaa/hilo eneo?)
Anapigiwa simu akiwa nyumbani/kazini (tegeta)
Anazima simu (kisa polisi)
Anatafutwa
Kakamatwa


Labda tujue tu ni tukio gani (uhalifu gani) lilitokea ambalo anahusishwa nalo??
 
Sijakataa hoja yako wala kuipinga...

Mimi nimejiuliza maswali, nikaja na jambo, ambalo halileti uhalali kwamba yeye ndiye mhusika kwa 100%

Katoka Arusha kuja Dar,
Tiketi kaitupa (hatujui wapi)
Tukio linatokea (kimara)
Wananchi wameona tiketi yenye taarifa zake (anajulikana huo mtaa/hilo eneo?)
Anapigiwa simu akiwa nyumbani/kazini (tegeta)
Anazima simu (kisa polisi)
Anatafutwa
Kakamatwa


Labda tujue tu ni tukio gani (uhalifu gani) lilitokea ambalo anahusishwa nalo??
Wezi/vibaka wamevunja duka la nguo na accessories na kuiba baadhi ila kwenye droo ya kutunzia fedha juu yake ndio wamekuta hii tiketi.
Unajua kama tiketi yako ya basi ina namba zako za simu?

Na Police Tanzania walishakataza tabia ya watu kuandika majina ya uongo na namba za simu fake ili kuepuka majeruhi/maiti kutotambulika au kuchukua muda mrefu kujulikana?
Vivyo hivyo na nyumba za wageni pia.

Tangazo hili lilitolewa kila mara kuhusu taarifa sahihi.

Mimi naishi Tegeta ila ninaweza tupa tiketi popote pale mfano Ubungo ila naishi Tegeta.
Halafu ishu ya tiketi kutupa popote mbona ni mambo ya kawaida sana?
Mara ngapi twaokota tiketi zikiwa in full details?

Karatasi ngapi za CV tunafungiwa vitumbua au bagia?
Je, nikiamua nikaibe Kibaha kisha niiache ile karatasi kama ushahidi kule, nani ataniamini?

Ila yeye anasema tiketi yake aliitupa geti la kutokea stendi.
 
Back
Top Bottom