Umetia nia.. wewe ni CCM.. umeandika haya!!!.. tatizo moja kubwa uliloonyesha.. ni kwa maneno ya CCM ina wenyewe hapo ungefafanua zaidi na sio kuja kutaka kuonyesha chama kina kama ubaguzi fulani kwa kupata kira MOJA ukawahi humu. Wewe umeonyesha kuwa ni mlalamishi umepewa nafasi kuwania halafu eti chama kina wenyewe.
Ulichobidi kufanya ungenyamaza soma yanayoandikwa ungekaa chini na kujitafakari.. rudia uliyoongea. Je, ulifikiri pesa zingevutia iweje leo. Je, unanini hata umefanyia chama na wana jimbo la Kawe ni mengi. ila muhimu muda ulipewa kuongea.. je uliongea ya kuvutia.. ulijionyeshaje.
Tulia kama ni uteuzi unataka.. basi ndugu.. kuwa smati.. mwenye nia uendana na mengi.. muwe mnakuja kutuuliza tuwafunze uongozi.. ingawa mimi sio kiongozi popote kisiasa.. ila nina x-factor.
Kila la kheri mbeleni..