Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Uchaguzi 2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

Wenyewe vipi! Sema hukuwa na mizizi wala connection, unaingia kwenye ushindani humjui mjumbe hata mmoja utegemee kutusua kweli.
Hata mim nimemshangaa makonda, unashindwaje kuwamudu watu 300 ndani ya miaka 5
 
Aendelee kuimba na kuabudu labda atakumbukwa kwenye teuzi
Ninaamini pale ukumbini tulikuwepo wanajf wengi japo hatufahamiani lakini tulichomtendea mwanabodi Pascal Mayalla siyo fair kabisa.

Baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika nilijua Pascal hawezi kupata kura 0 kwa sababu nilimpigia lakini sikujua kuwa hiyo ndio kura pekee.
Chadema wa hapa Jf wanapigana kampani hadi kwenye chaguzi lakini wana Lumumba sijui tunafeli wapi?

Nimekereka sana.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Kwanza hongera kwa kujitosa mazima. Pili sidhani kama ni sahihi kusema ccm ina wenyewe. Ni vile tu kwamba hukujiandaa. Kwa maoni yangu, angalau mara baada ya uchaguzi kuisha, ndio muda muafaka kujitosa kuwania nafasi uchaguzi ufuatao. I
 
Ninaamini pale ukumbini tulikuwepo wanajf wengi japo hatufahamiani lakini tulichomtendea mwanabodi Pascal Mayalla siyo fair kabisa.

Baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika nilijua Pascal hawezi kupata kura 0 kwa sababu nilimpigia lakini sikujua kuwa hiyo ndio kura pekee.
Chadema wa hapa Jf wanapigana kampani hadi kwenye chaguzi lakini wana Lumumba sijui tunafeli wapi?

Nimekereka sana.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi uwandike makala baada ya Magufuli anayetufaa Makonda unategemea ubaki salama mbele ya watu wenye akili?
 
Pole sana ila ndiyo mwanzo yamkin utakuwa umejifuza kitu
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!

Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!

Nipeni tu pole!.

Paskali

Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata

Usikate tamaa mkuu. Huu ni mwanzo wa mchakato tu.

Bado kuna nafasi ya jinsi mzee baba atakavyo amka.
 
ila ccm mmejianika sana msimu huu, taaluma zenu zipo rehanini. Tumewajua wengi saizi inabakia kuwachora tu...HONGERA KWA HATUA HIYO, naamini 2025 ukirudia utapata kura zaidi. Kinachoniuma zaidi ni dodoma mjini yule kijana wa ccm ni kichwa maji sana nashangaa anapita eti, wajinga humpigia mjinga mwenzake nimeamini. Yaani licha ya kuteuliwa kuwa naibu waziri lakini sioni cha maana anachokifanya ni mweupe kwakweli. Inamaana ccm haina wagombea wa kijanja???
 
Back
Top Bottom