sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Hata mim nimemshangaa makonda, unashindwaje kuwamudu watu 300 ndani ya miaka 5Wenyewe vipi! Sema hukuwa na mizizi wala connection, unaingia kwenye ushindani humjui mjumbe hata mmoja utegemee kutusua kweli.