FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwani wanaopiga kura si wajumbe? Au mwanachama yeyote anaweza kupiga kura?Maana humu JF inawezekana wajumbe ni wachache sana au hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgombea hajipigii kura maana si mjumbeKuna udanganyifu fulani hapo nauona. Paskali kajipigia kura moja. Na wewe unadai umempigia kura moja. Hivyo tulitegemea apate kura mbili. Swali : Je hiyo kura nyingine imekwenda wapi?
Nimekuelewa bwashee!Kwani wanaopiga kura si wajumbe? Au mwanachama yeyote anaweza kupiga kura?Maana humu JF inawezekana wajumbe ni wachache sana au hakuna
Alijipigia! Kwani alikuwa ni mjumbe wa kamati ya uchaguzi?Kuna udanganyifu fulani hapo nauona. Paskali kajipigia kura moja. Na wewe unadai umempigia kura moja. Hivyo tulitegemea apate kura mbili. Swali : Je hiyo kura nyingine imekwenda wapi?
Pole sana mkuu kwa matokeo ambayo hukutegemea. Lakini umeonyesha ukomavu kwa kuthubutu kugombea; na baadaye kukubali matokeo. Huo ndio ukomavu ninaouzungumzia. Siyo kuanza malalamiko yasiyo na kichwa au mkia. Kila mmoja wa wagombea alikuwa anajiamini. The people have spoken. Tushukuru maamuzi yao na kuanza kuganga yajayo.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Bwashee uwe na huruma!Bora amekosa maana sio kwa masifa aliyoanzisha kwa mheshimiwa.
Zile sifa zote leo kazitia majiPole sana kiongozi Askofu nabii wa kupanua huduma sijui imekuaje huko.
Kumbe wewe ni ccm? Pole sana Tanzania yanguWanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata