Hata mim nimemshangaa makonda, unashindwaje kuwamudu watu 300 ndani ya miaka 5Wenyewe vipi! Sema hukuwa na mizizi wala connection, unaingia kwenye ushindani humjui mjumbe hata mmoja utegemee kutusua kweli.
Ninaamini pale ukumbini tulikuwepo wanajf wengi japo hatufahamiani lakini tulichomtendea mwanabodi Pascal Mayalla siyo fair kabisa.
Baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika nilijua Pascal hawezi kupata kura 0 kwa sababu nilimpigia lakini sikujua kuwa hiyo ndio kura pekee.
Chadema wa hapa Jf wanapigana kampani hadi kwenye chaguzi lakini wana Lumumba sijui tunafeli wapi?
Nimekereka sana.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanza hongera kwa kujitosa mazima. Pili sidhani kama ni sahihi kusema ccm ina wenyewe. Ni vile tu kwamba hukujiandaa. Kwa maoni yangu, angalau mara baada ya uchaguzi kuisha, ndio muda muafaka kujitosa kuwania nafasi uchaguzi ufuatao. IWanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Haihusiani na alichoandika mtoa mada.Hata kwenye sanduku la kura ccm huwa hawashindi kwa kura zao,bali kwa nguvu zao,learn a lesson
Hivi uwandike makala baada ya Magufuli anayetufaa Makonda unategemea ubaki salama mbele ya watu wenye akili?Ninaamini pale ukumbini tulikuwepo wanajf wengi japo hatufahamiani lakini tulichomtendea mwanabodi Pascal Mayalla siyo fair kabisa.
Baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika nilijua Pascal hawezi kupata kura 0 kwa sababu nilimpigia lakini sikujua kuwa hiyo ndio kura pekee.
Chadema wa hapa Jf wanapigana kampani hadi kwenye chaguzi lakini wana Lumumba sijui tunafeli wapi?
Nimekereka sana.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi uwandike makala baada ya Magufuli anayetufaa Makonda unategemea ubaki salama mbele ya watu wenye akili?
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
Nipeni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata
Pascal siyo mjumbe!Kuna udanganyifu fulani hapo nauona. Paskali kajipigia kura moja. Na wewe unadai umempigia kura moja. Hivyo tulitegemea apate kura mbili. Swali : Je hiyo kura nyingine imekwenda wapi?