Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapaswa kumuhurumia mwanajf!'Hilo Jimbo alieshinda Askofu halina wapiga kura (kwenye uchaguzi mkuu) Waislamu?', na mahusiano ya Askofu na hao wa dini nyingine yakoje?
Hajawahi kukashifu watu wa dini au madhehebu mengine?'
Nimejikuta najiuliza tu.
Mkuu ni kweli lazima ufanye kitu katika jamii ili kujenga jina but nakuhakikishia inategemeana na mazingira ya siasa katika Jimbo hilo kwa kipindi hicho yamekaa vipi unaweza fanya hayo yote na usipate hata kura 1 nimeshuhudia haya kwa macho yangu mwenyewe kuna raia wamejitoa sana but mwisho wa siku wameangukia pua,akaja mtu mwishoni akakubalika ajaabu na hajawi fanya chochote katika jamii hiyo.Umefanya nin Kawe mpaka ukagombee huko? Sikutegemea mtu kama wewe unae jitambua kwa kiasi kikubwa kujipeleka tu hujawahi hata kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu wa kata unaenda tu kwa vile unafikiri ukiongea kwa dakika moja utaweza ku mconvice watu wakuchague...
Unaota wewe. enzio wanashangilia!Gwaji boya hawezi kushinda, akijitahidi sana nafasi ya tatu inamhusu...
Umepata kura moja si haba. Hongera kwa kujaribu.
Ushauri wangu kwako, acha siasa za kujipendekeza.
Mambo ni moto!Kashindwa na mzee wa uno