Wana JF wa Morogoro tujuane hapa

Umeona eeh, mi mwenyewe itakuwa ni kucheka tu mwanzo mwisho
Ujue fake ID zinanipaga raha sometimes, unabaki kujiuliza huyu mito sijui ni mbaba, sijui ni mbabu, sijui ana gutambi, sijui ni kaandunje teh, basi unabaki kusmile tu
Hahaa wala hata sithubutu aiseee, labida kama wallet iwe na ziada ya kutosha ndo naweza kujilipua
Mmh usije tu ukaambiwa uache viatu kaunta my kaka
 
Ujue fake ID zinanipaga raha sometimes, unabaki kujiuliza huyu mito sijui ni mbaba, sijui ni mbabu, sijui ana gutambi, sijui ni kaandunje teh, basi unabaki kusmile tu

Hahaaa yaani smile zinabeba mengi siku hiyo, manake na mi nitakuwa bize naendelea na physical assessment yangu, ngoma drooo!!!
Aiseeeee ndo maana siwezi kutokea kabisaaaaaaaaa hata kwa mtutu, weeeeee!!! nishushe P hivi hivi kirahisi rahisi, now way!!!
 
Teh teh teh, nitakuwa nawaza tu sijui atanitoa na ngapi leo? Hayo ya gutambi hata sitayaona. Mie na upole huu nitakuwa kimyaa nakunywa tu juice.

Hahaaaaaa yaani we sista sitegemei eti uwe mpole weeeeee!! dada mchungaji sawa, lakini wewe ahaaaa wapiii
 
Haha uanze kutukagua Mawigi yetu teh. khaa nilisahau physical assessment tena, baki huko huko na mgutambi wako
 
Hahaaaaaa yaani we sista sitegemei eti uwe mpole weeeeee!! dada mchungaji sawa, lakini wewe ahaaaa wapiii
Teh bora hata usinione aisee, maana utagoma katu katu kama aliye mbele yako ndo dada mtumishi[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Teh bora hata usinione aisee, maana utagoma katu katu kama aliye mbele yako ndo dada mtumishi[emoji85] [emoji85] [emoji85]

Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yaaani umenichekesha balaaaaa!!!! basi wacha tuheshimiane tu online maisha yaende!!!
 
Yaani umenichekesha hatari ulivyochomoa mtoko aiseee, khaaaaa!!
Teh me sijachomoa bana, ngoja nipunguze punguze kwanza aibu + vicheko na nianze kujipa mazoezi ya physical assessment[emoji133] [emoji133]
 
Teh me sijachomoa bana, ngoja nipunguze punguze kwanza aibu + vicheko na nianze kujipa mazoezi ya physical assessment[emoji133] [emoji133]

Hapo ndo unazidi kunichekesha zaidi sasa bahati nzuri niko peke yangu nacheka tu kwa sauti kama mwehu peke yangu peke yangu!!!!!!!!

Mi nimeishakwambia sitafanya hiyo physicla assessment bana, kama vipi anza kunitumia kabisa picha nianze kukufahamu mapemaaa ili siku hiyo usiwe na wasi wasi tena na mimi
 
Hahaaaaaa yaani we sista sitegemei eti uwe mpole weeeeee!! dada mchungaji sawa, lakini wewe ahaaaa wapiii

Uwiii huyo dada yako feki nani alikudanganya ni mpole? Ni chakaramu hakuna mfano, mie mpoleeee mtoto wa watu.
 

Oooh mnaenda kufahamiana!! Paulo Sergio De Souz ana taarifa?
 
Last edited by a moderator:
Aaah picha hizi hizi za camera 360? Si utaniona byutful byutful kidogo my kaka afu ndo uje unione live sasa weeee. Ntashangaa tu " the number you are calling Is not reachable"; ntaliaje[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…