sasa LD naona umeanza wivu...............wivu ni dalili ya kwanza kwamba umeanza kupenda.
I am still watching where this is heading...........naona inaelekea kwenye PM
Mkuu, huyu anaitwa PretayaniaNipe jina lake PJ. Jina la kimsamiati watumialo huko porini.
Now you are talking..............he seems like a good boy. go for him. Kama unataka nauli ya kwenda AR unitafute kabisaaHvi huo ndo wivu babu, mmmmh, anatuchanganya bana,
Mara WL, mara LD, mara anamchungulia Maty.
Lakini mi nshamkimbia, namfikiria fikiria hmethod.
And you have missed this either:
Pole sana brother aika.....hope nxt time tutakuwa wote.
Mkuu, huyu anaitwa Pretayania
alama lakini? tulikumis mkuu
Safari ijayo na mm mnialike ,au hizi tripu ni za kindugu(mmu)??
Now you are talking..............he seems like a good boy. go for him. Kama unataka nauli ya kwenda AR unitafute kabisaa
hahaha uchovu bado bana sa hz ndio naamka tena
Hajafikisha salamu bana. Nimtwange faini nini ka ya vijisenti kadhaa!hahaha WL umeinyaka mapema babu matiti anakutafuta sana halafu umefikisha salam zangu kwa eeka mangi?
Now you are talking..............he seems like a good boy. go for him. Kama unataka nauli ya kwenda AR unitafute kabisaa
Mkuu, huyu anaitwa Pretayania
alama lakini? tulikumis mkuu
Hajafikisha salamu bana. Nimtwange faini nini ka ya vijisenti kadhaa!
Akimkubali nitacheka hadi tarangire
mcng u vere vere!!pole na uchovu peace of my heart
Hvi huo ndo wivu babu, mmmmh, anatuchanganya bana,
Mara WL, mara LD, mara anamchungulia Maty.
Lakini mi nshamkimbia, namfikiria fikiria hmethod.
WL habari dada, Lonar anasema je?
WL upo dada? miss you so much.Nasikia tu habari zako za Tarangire kwa mbali kuwa ulimwacha Bwana na ukateleza....niko poa sanai,,kuanzia sasa wewe ni mali ya sahara,,loner hajambo anaosha vyombo
halafu wewe binti hebu nishukuru fasta kwa ufanisi wa kazi ulonipa. I care and guard at the same time
kwanza pole kwa yote,,pili pokea salam toka kwa mpenzio maty,,alikuja kwa ajili yako bahati mbaya ndo vile tena,,,tatu tulikosa sana uwepo wako!