LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
sasa LD naona umeanza wivu...............wivu ni dalili ya kwanza kwamba umeanza kupenda.
I am still watching where this is heading...........naona inaelekea kwenye PM
Hvi huo ndo wivu babu, mmmmh, anatuchanganya bana,
Mara WL, mara LD, mara anamchungulia Maty.
Lakini mi nshamkimbia, namfikiria fikiria hmethod.