Binafsi naomba radhi kwa niaba ya wote tuliokuwa kwenye bahari ile ya raha ni kwa sababu tu wengi hawakuwa online na baadhi cm.zilizimika.
Ila naomba kumpongeza Mello kwa hili jamvi na wana jf.wote ujumla maana hii ni familia kubwa sana na ina upendo wa ajabu ambao ni natural kwa wakuu kutoka Dar. waliotupasha joto F. Lady, mzee mzima Bigirita, Ld, The Finest, Teamo, from moro, Matty, Kimey,chipkizi,mwanajamii one umenikomesha na wengine wengi waliokuwepo na waliotupigia cm. Kama cheusi mangala, asprin, na waliokuwa pamoja na cc online mpaka natamani tujenge kijiji chetu cha amani na upendo siku zote
I salute u Guyz.
Pj.m/kiti na kamati yako nawakoma!
Maxence!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????
Wewe kichwa kichwani zimo na zinakutosha.
Jf. Wera weraaaaaaaaaaaaaa!