Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
kwa kweli hii sitaikosa ila aika mangi ufanye mpango wa kuja na dumu la mbege ctaki kunywa vinywaji vingine vile vya rangi ya njano kwani vinafanza vibaya
Hiyo mbege ntaitengeneza mwenyewe afu nna ka kafriji ka kishkaji kunako mkoko itakuwa ya bridiiiiiiiiii.