Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
preta, hiyo chupi ya pink kwenye avatar vipi tena? ndio mambo gani ya kustua watu asubuhi hii bana

usiniangushe bana....angalia vizuri...ni hendikachifu hiyo
 
preta, hiyo chupi ya pink kwenye avatar vipi tena? ndio mambo gani ya kustua watu asubuhi hii bana

Hii inaitwa "Underwear calling" You have been notified and warned accordinlgly.
 
subiri kidogo nianzishe thread ya kuaga kwanza.......maana naenda kujinyonga

Usijinyonge bana, Roya ana kisusio chako. Huyu jamaa ana uadui na shingo za mbuzi asee.
 
Usijinyonge bana, Roya ana kisusio chako. Huyu jamaa ana uadui na shingo za mbuzi asee.

heri umenituliza...nilikuwa nimeshafika ukurasa wa sita kuandika urithi....na avatar ilikuwa nimeshamuachia nani.......
 
subiri kidogo nianzishe thread ya kuaga kwanza.......maana naenda kujinyonga


Usijinyonge babe! Mi.natabakia na nani WL. Mwenyewe anakona nyingi siku hizi na uhakika kwa MJ1 ni wa mashaka Big ananithibiti sana kuhusu hiyo avata weka unayotaka hasa ile uliyoivaa leo asubuhi na kesho usiache kubadilisha mwaya
 
Mkuu nashukuru nyu yia imeisha sasa ni wakati wa kupona hang-over na kula albaki

Mi nafurahi na wewe hukuenda, manake ungeenda mbona ningekoma.

Vipi pancha ushaziba?
 
Usijinyonge babe! Mi.natabakia na nani WL. Mwenyewe anakona nyingi siku hizi na uhakika kwa MJ1 ni wa mashaka Big ananithibiti sana kuhusu hiyo avata weka unayotaka hasa ile uliyoivaa leo asubuhi na kesho usiache kubadilisha mwaya

sasa nikiweka za rangi zote si wengine wataiga mapigo.....namaanisha hiyo hendikachifu
 
Mi nafurahi na wewe hukuenda, manake ungeenda mbona ningekoma.

Vipi pancha ushaziba?
hahaaaaaaa.. ni vyema baadhi ya wazee tulibaki kulinda boma ati, ingekua balaa... pancha wapi ndugu yangu, nimebadili tairi kabisa.... Tanga raha mwana!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom