Wana JF wakutana Arusha

Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Machalii wa arusha nasikia mji haukaliki.....:scared::target:😛ainkiller:
 
babu yangu Kimey........... nimeitwa na Derimto mpenzi wangu wa December 2010 ndo naitika ati................. pengine ntapata bahati ya kuanza naye 2011................. Derimto baba hebu sogea na kipande hii.

Honey bani nakuwaza sana najararibu kutafuta angalau control si unajua mimi mwanaume Babu unadhani ana noma hawezi kukataa mahari ila ni mpaka pale niwe nimekumiliki hakuna cha big wala nani then tunamaliza na babu haya niambie jion utakuwa wapi npm. Babu asijue akaja kuvuruga mambo
 
Kwamba mmeshindwa kuafford zile zinazouzwa 2500, au hazina ladha au mtajisahau tu kwa sababu ya kuchanganyikiwa na mahaba, au hamjali, au hamuogopi au niwashtaki kwa bibi awafunde?


Ungeona hiyo menu ungekufa...panadol tu 200!
 
No no no...just keep the smiles.......a smile can never be surpassed by a mere trouble....:hat:


(Sijui kwa nini, ila naona unapora madaraka, lol)
(Huyo hana madhara, ni mwanafamilia yetu, yuko kikazi. Smiles amezingirwa kila kona mpaka kieleweke)
 
(Madhara anayo bana...ila yanavumilika...lol)

(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)
 
(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)

Wamekuchukulia taito zako???? Wabaya sana bana....
 
(c.r.a.p)

tukio la arusha najua bado limekuathiri sana maana ulishindwa kufanya ukabaila na kuwakagua watu matokeo yake hiyo kazi ilifanywa na sisi wajukuu zako nafasi kama hizo zinakuja mara moja kwa miaka 5 nafikiri ukaguzi niliofanya umefikia kiwango cha kukabidhiwa cheti na mewata, naenda kuonana nao kesho.

Babu bepari na kabaila kwa wajukuu next time utapata nafasi
 
Wamekuchukulia taito zako???? Wabaya sana bana....

Ha ha ha ha ha ha ha tulikuwa Closer...closer!.kwenye tito zake hadi zingine tukazifanyia kazi naona hasira zake zote ameziamishia kwa MEMKWA
 
(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)
Hommie na hapa napo una maslai! Kweli we ni kabaila..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom