Orait...orait nimekuelewa.
Lakini ukumbuke pie kuwa kabaila hali sahani moja na tenant wake ati......... so haimsaidii kubana
:shut-mouth:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Orait...orait nimekuelewa.
Lakini ukumbuke pie kuwa kabaila hali sahani moja na tenant wake ati......... so haimsaidii kubana
220 M/Hr...........kwenye kona 80 M/HrAm watching you. ..
vere vere....closer...closerEtii....
Hii sio "this world is not my home" bali ni "God am coming home"220 M/Hr...........kwenye kona 80 M/Hr
babu yangu Kimey........... nimeitwa na Derimto mpenzi wangu wa December 2010 ndo naitika ati................. pengine ntapata bahati ya kuanza naye 2011................. Derimto baba hebu sogea na kipande hii.
Kwamba mmeshindwa kuafford zile zinazouzwa 2500, au hazina ladha au mtajisahau tu kwa sababu ya kuchanganyikiwa na mahaba, au hamjali, au hamuogopi au niwashtaki kwa bibi awafunde?
vere vere....closer...closer
Smelling trouble....Hii sio "this world is not my home" bali ni "God am coming home"
Shauriro don't say I didn't warn you!
Smelling trouble....
I wonder where katibu is...needs some help here!!
No no no...just keep the smiles.......a smile can never be surpassed by a mere trouble....:hat:Smelling trouble....
I wonder where katibu is...needs some help here!!
am here on his behalf...
(Huyo hana madhara, ni mwanafamilia yetu, yuko kikazi. Smiles amezingirwa kila kona mpaka kieleweke)No no no...just keep the smiles.......a smile can never be surpassed by a mere trouble....:hat:
(Sijui kwa nini, ila naona unapora madaraka, lol)
(Huyo hana madhara, ni mwanafamilia yetu, yuko kikazi. Smiles amezingirwa kila kona mpaka kieleweke)
(Madhara anayo bana...ila yanavumilika...lol)
(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)
Goshhhhh!!!!!!!!
(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)
(c.r.a.p)
Wamekuchukulia taito zako???? Wabaya sana bana....
Hommie na hapa napo una maslai! Kweli we ni kabaila..(Amin Amin nakuambia, ni heri madhara ya mwenyekiti kuliko matendo ya mabepari, mabwanyenye na makabaila kama bigirita na kimey)