Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Wana JF waondoka Tanga (Safiri salama)

Kweli Mkuu yule dereva alikupa tafu sana kunyamazisha Madame B, hivi bila yeye angenyamaza?
LakiSHARI lake tu ndio limenifurahisha hadi nikajisahau kutremka home.

ila Twende mbele na Kurudi nyuma, PakaJimmy amenicare jamani, au kwa nikuwa nilikuwa nimekaa nae kule mbele????
Lakini Hapana, watu wa Arusha Wing ni mnajua kubembeleza, namfikiria mpaka muda huu. Filipo nitakupa ujumbe umpelekee ila @Arushaone asiuone
 
Last edited by a moderator:
Usijali mkuu! Arabela nitampokea na atakuwa kwenye mikono salama! Niliongea nae.
Mmmmh moyo wangu hauna imani kabisaaa, labda Blaki Womani na Lily Flower wanidhibitishie.....

yeah ni kweli my dia.. Karibu tena na tena
Mbona bila wewe Pangani tungepotea......

Ila PakaJimmy waache wachonge, Me naomba Nije huko AraChuga, kisha uninyamazishe tena, na tena.
Afu uliliona lile jicho la Arushaone alilokuwa anatukata, mpaka nikabanwa na Kicheko.
We kweli kiboko kile kilio mmmmh.......!
 
Last edited by a moderator:
Hahahah.....

Mie sina la kusema......

Ngoja niktafute msome wa Makamba Sen...

Kwamba...ukifuga mbwa hubweki...lol!

Ahsanteni sana wana timu wa jeshi la ardhini na shukrani kwa wageni wote!

Narudi kwa bed hadi baadaye!
 
Hahahah.....

Mie sina la kusema......

Ngoja niktafute msome wa Makamba Sen...

Kwamba...ukifuga mbwa hubweki...lol!

Ahsanteni sana wana timu wa jeshi la ardhini na shukrani kwa wageni wote!

Narudi kwa bed hadi baadaye!

Hii yenye red imetulia kweli, au sijaielewa?
Pole sana babu pumzika salama
 
ila Twende mbele na Kurudi nyuma, PakaJimmy amenicare jamani, au kwa nikuwa nilikuwa nimekaa nae kule mbele????
Lakini Hapana, watu wa Arusha Wing ni mnajua kubembeleza, namfikiria mpaka muda huu. Filipo nitakupa ujumbe umpelekee ila @Arushaone asiuone

We nipe huo ujumbe! Jamaa amerudi kwa my wifu wake Blaki Womani tena baada ya kuomba radhi kwa kupiga magoti! Kweli maji hayasahau baridi. Hata ukiyapasha yatapoa tu!
 
Last edited by a moderator:
We kweli kiboko kile kilio mmmmh.......!

Yani ule Ukunga ulikuwa wa hatari, lakini Chekshia nilivyodakwa ktk mikono laini hadi nikajihisi nimefika Mars.
amber-portwood-crying-picture.jpg
 
twashkuru mpenzi kwa shukrani.. It was nice
Hivi Arabela nimeshakushukuru?
Mi nilikuwa nawangoja wenye papara zao waseme weee! maana maneno yao had kwenye kanga yapo.

Sasa ngoja mi nikushukuru mwaya, U were the best of the best!
Hebu nikumbushe tena namba yako kwenye Miss CC nikuongezee kura.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom