Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mpz! I had a good moment with you!
yeah ni kweli my dia.. Karibu tena na tena
Kweli Mkuu yule dereva alikupa tafu sana kunyamazisha Madame B, hivi bila yeye angenyamaza?
LakiSHARI lake tu ndio limenifurahisha hadi nikajisahau kutremka home.
Mmmmh moyo wangu hauna imani kabisaaa, labda Blaki Womani na Lily Flower wanidhibitishie.....Usijali mkuu! Arabela nitampokea na atakuwa kwenye mikono salama! Niliongea nae.
Mbona bila wewe Pangani tungepotea......yeah ni kweli my dia.. Karibu tena na tena
We kweli kiboko kile kilio mmmmh.......!
twashkuru mpenzi kwa shukrani.. It was nice
Nimesha ku-PM, lakini stakubali uende Arusha peke yako lazima uwe na bodigadi
Hahahah.....
Mie sina la kusema......
Ngoja niktafute msome wa Makamba Sen...
Kwamba...ukifuga mbwa hubweki...lol!
Ahsanteni sana wana timu wa jeshi la ardhini na shukrani kwa wageni wote!
Narudi kwa bed hadi baadaye!
Thanks Arabela it was a great moment we had, karibu Arachuga.Yeah it was so fantastic nimefurahi kuwa nanyi wapendwa wetu. Karibuni tena
We kweli kiboko kile kilio mmmmh.......!
eeeewh ilikuwa janja ya nyani wengine wenye akili tulielewa
Umeonaeeh!? Mi niliandika sifuri nikaenda na moja kichwani!
Hivi Arabela nimeshakushukuru?twashkuru mpenzi kwa shukrani.. It was nice
Lily Flower niahidi utamlinda akija Chugga, maana nina wasiwasi na......Thanks Arabela it was a great moment we had, karibu Arachuga.