Wana JF wengi ni maskini, wengi hutumia Tecno

Wana JF wengi ni maskini, wengi hutumia Tecno

Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.

Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Aliekuambia anayetumia Tecno nitajiri nani ujakuwa bado ww alafu ni mshamba kumbe bado hujui chochote kuhusu simu na matumizi yake kama unatumia simu kwajili ya showoff basi ww ni limbukeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi nyie watumia iphone na samsung tuliwakosea nini na tecno zetu[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom