Tony-stark
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 1,020
- 1,334
Nokia ya tochi tupo huku nyuma,
Tukishuhudia mpambano mkali kati ya TECNO dhidi ya Samsung na iPhone, ila mpaka sasa tecno wamekaza vichwa, mpaka imepelekea aliyeanzisha mpambano huu Kupotelea kusikojulikana,
Mpaka sasa TECNO ni (3)-(0),
kumbuka hii ni infinity war,
Kwako mwl kashasha.
Tukishuhudia mpambano mkali kati ya TECNO dhidi ya Samsung na iPhone, ila mpaka sasa tecno wamekaza vichwa, mpaka imepelekea aliyeanzisha mpambano huu Kupotelea kusikojulikana,
Mpaka sasa TECNO ni (3)-(0),
kumbuka hii ni infinity war,
Kwako mwl kashasha.